Justdr
Member
- Jun 1, 2021
- 53
- 104
Mwenye anaweza kunisaidia please!
..kuna dogo amemaliza f4 na kuchaguliwa high school HGL
Unfortunately enough dogo hana interest kabisa na masomo ya arts ..yeye ni hama asome PCB au aende college kozi za afya(kozi za afya hapa barrier uchumi unabana hataweza).
Sasa naomba anayeweza kunisaidia akapata shule ya serikali PCB tuwasiliane ,
Phone 0629595248.
Dogo matokeo yake haya hapa
Yuko na II ya 19
CIVICS - 'C'
HIST - 'C'
GEO - 'C'
KISW - 'C'
ENGL - 'A'
PHY - 'D'
CHEM - 'C'
BIO - 'C'
B/MATH - 'D'
Hata ushauri pia,
Don't hesitate to contact me ili dogo hatimize ndoto zake
..kuna dogo amemaliza f4 na kuchaguliwa high school HGL
Unfortunately enough dogo hana interest kabisa na masomo ya arts ..yeye ni hama asome PCB au aende college kozi za afya(kozi za afya hapa barrier uchumi unabana hataweza).
Sasa naomba anayeweza kunisaidia akapata shule ya serikali PCB tuwasiliane ,
Phone 0629595248.
Dogo matokeo yake haya hapa
Yuko na II ya 19
CIVICS - 'C'
HIST - 'C'
GEO - 'C'
KISW - 'C'
ENGL - 'A'
PHY - 'D'
CHEM - 'C'
BIO - 'C'
B/MATH - 'D'
Hata ushauri pia,
Don't hesitate to contact me ili dogo hatimize ndoto zake