Ahsante Sana mdau! Mungu asaidie niwakike! Private anazo cfa tatzo vyuma!... KikwazoKama ni wa kiume, asitegemee saaana. Sifa anazo ila wenye sifa zaidi yake watapewa kipaumbele kwanza, nafasi zikiisha, atakosa, zikibaki atapata lakini uhakika wa kukosa ni mkubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kakaSerikali hawawezi kumchagua ila ataenda kidato Cha 5 private school HKL,HGL,HGK.
Mpe hongera zake kajitahidi maana wapo wengine hawana hizo credits
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwenda form 5 lazima awe na C kuanzia 3 vinginevyo hapana.Mimi yupo ana 25 bios d math d eng c geog d ks c. anasifa ya serikali.
Habari wadau kichwa kinavyojieleza Dogo ana point 26 na history C kiswahili C English C na mengineyo ana d flat. Je anaweza chaguliwa government?
Ht km ingekuwa shule nzima bado tu asingeweza kuchukuliwa, labda iwe nchi nzima peke yake.Big noo! Even angekuwa girl asingechukuliwa labda awekafaulu pekeyake shule nzima.
Ila kweli four govt hawachukui kabisa!Ht km ingekuwa shule nzima bado tu asingeweza kuchukuliwa, labda iwe nchi nzima peke yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo ulisema D flat kumbe ana mswaki hawezi kuchaguliwa hata kwa bahati mbayaKatika masomo 7 ana C 3 D 3 F 1 amebalance hkl anapoint 26 four
Asilimia Kubwa Ambao Wana Msing Mbaya 0 Level Advance Wanasumbua Hatari, Wanaopata One Advance Wanapata Three,Kama una uwezo mtafutie course zingine akafanye
Ukimpeleka Advance level kwa Matokeo hayo Maajabu ni kufaulu sio kufeli