MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,432
It's true brother ...I agree 100%Chifu, katika nafsi yako na mbele ya Mungu wako, hivi unaamini Tanzania kuna demokrasia? Tanzania haijawahi kuwa na demokrasia: siyo wakati wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa, wala Kikwete! Tuna demokrasia kwenye makaratasi tu.