Leo hii nimepita Dodoma ,pale ilipokuwa Kituo cha Scandinavia Express nimekuta uchafu huu ukiwa umetupwa hapo , Nywele zilinisismka na jasho likanitoka , si peke yangu nadhani kila aliyeona Sindano za kushonea watu, Nyembe za kufanyia upasuaji , mabomba ya sindano yaliyotumika na mengine yakiwa na majimaji yanayofanana rangi mithili ya damu ma kasha la kuhifadhia mabomba likiwa kando yake !!!!! UWAPI usalama wa Binaadamu hawa , sijui watakuwa watoto au watu wazima , Nikajiuliza Kuna kituo cha huduma jirani na Stand hii , hivi hizi takataka zitakuwa zimetoka wapi Hospitali Kuu? kituo cha Afya Makole? au doooooo wakuuu sijui
Leo hii nimepita Dodoma ,pale ilipokuwa Kituo cha Scandinavia Express nimekuta uchafu huu ukiwa umetupwa hapo , Nywele zilinisismka na jasho likanitoka , si peke yangu nadhani kila aliyeona Sindano za kushonea watu, Nyembe za kufanyia upasuaji , mabomba ya sindano yaliyotumika na mengine yakiwa na majimaji yanayofanana rangi mithili ya damu ma kasha la kuhifadhia mabomba likiwa kando yake !!!!! UWAPI usalama wa Binaadamu hawa , sijui watakuwa watoto au watu wazima , Nikajiuliza Kuna kituo cha huduma jirani na Stand hii , hivi hizi takataka zitakuwa zimetoka wapi Hospitali Kuu? kituo cha Afya Makole? au doooooo wakuuu sijui