Tujisahihishe Tz
Platinum Member
- Nov 17, 2011
- 3,050
- 1,359
Jamani hali ni mbaya sana hapa mkoani dodoma polisi waliovalia kivita mithiri ya robot vile wamemwagwa mtaani utafikiri kuna hali ya hatari mkoani hapa.
Cha kushangaza watu wanajiuliza hii yote kutisha watu ni kwa faida ya nani? ili iwe nini??
Kamanda wa polisi mkoa Bw. Misime na mkuu wa mkoa Bi. Galawa kwa matamshi mbalimbali wamekuwa wakitamka matamshi mbalimbali kuashiri kuna jambo wameagizwa,
Nimeshindwa hata kuwapiga picha kwa kuhofia kukamatwa, watanzania katika mji huu hawana amani kabisa
Nina mashaka kama itafika saa kumi na mbili jioni kukawa na watu mitaani.
Vyombo vya habari tunaomba muumlike mko wa Dodoma kwa jicho la tatu
Mungu Wabariki watanzania
Mungu ziinue imani zao kwa wale wawapendao
Cha kushangaza watu wanajiuliza hii yote kutisha watu ni kwa faida ya nani? ili iwe nini??
Kamanda wa polisi mkoa Bw. Misime na mkuu wa mkoa Bi. Galawa kwa matamshi mbalimbali wamekuwa wakitamka matamshi mbalimbali kuashiri kuna jambo wameagizwa,
Nimeshindwa hata kuwapiga picha kwa kuhofia kukamatwa, watanzania katika mji huu hawana amani kabisa
Nina mashaka kama itafika saa kumi na mbili jioni kukawa na watu mitaani.
Vyombo vya habari tunaomba muumlike mko wa Dodoma kwa jicho la tatu
Mungu Wabariki watanzania
Mungu ziinue imani zao kwa wale wawapendao