Dodoma-Ofisi ya Spika yatamba!


Huyu jamaa lazima tumpe pongezi kwa kazi anayoifanya,kuwa na uwezo wa kuandika post nyingi kwa siku ingawa zote ni upuuzi mtupu ni kipaji cha aina yake!Naomba tumlaumu kwa utumbo wake anaoandika humu lakini jamaa namvulia kofia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…