Nami nafikiri hivyo hivyo,ccm sio wajinga kiivyo kutekeleza mpango huo kwa haraka!Mkuu betlehem,yawezekana huo ni mpango utakaotekelezwa kwa hatua. Yawezekana ikawa ni taarifa tu hii.Ngoja tusubiri.
Nami nafikiri hivyo hivyo,ccm sio wajinga kiivyo kutekeleza mpango huo kwa haraka!Mkuu betlehem,yawezekana huo ni mpango utakaotekelezwa kwa hatua. Yawezekana ikawa ni taarifa tu hii.Ngoja tusubiri.
Mkuu unashangaa kwenye hii thread tuu, nenda kwenye ile ya hotuba ya Mbowe kuna michango yake kama 50 hivi, rudi kwa ile ya Arusha kuhusu uchaguzi wa madiwani napo kuna michango ya jamaa kama 10. Imagine kajiunga juzi lakini score bodi inaonyesha anamichango zaid ya 150, na ukizingatia yote pumba tupu.