Dodoma ni mojawapo ya kambi!

Dodoma ni mojawapo ya kambi!

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
Nimetembelea mji wa Dodoma kwa muda wa wiki moja na kukutana na mihadhara kadhaa ya uchochezi wa kidini.pia nimepita mitaani na kukutana na madrassa kadhaa zinazofundisha chuki za kidini na pia zinatoa mafunzo ya karate.Serikali imelala lakini kuna vuguvgu kubwa la udini linaloendelea mjini dodoma.
 
Serikali iko busy na Chadema mambo mengine hawana muda wa kuyashughulikia. Labda wangesikia sheikh Ponda ameingia Dodoma ndo wangetumwa askari police defender 6 kwenda kumsaka.
 
Serikali iko busy na Chadema mambo mengine hawana muda wa kuyashughulikia. Labda wangesikia sheikh Ponda ameingia Dodoma ndo wangetumwa askari police defender 6 kwenda kumsaka.

inashangaza serikali kusubiri mambo ya kwenye tv badala ya kudeal na vyanzo vyake!
 
Tuko busy na Chadema hayo mambo mengine hatuyajui
 
chama cha pwani nchi nzima ni yao..huwa wanasema baragumu likilia zenj .....usikika hadi bara...Mtu wa kaskazini asahau kuhsika nchi.
 
Subirini tukimalizana na CDM ndo muanze kutuambia matatizo yenu sasahivi tupe busy na suala la msingi kuishughulikia CDM
 
Asante kwa kutujuza. Hili swala kwa serikali si kero wanalisapoti.
 
Jamani,mimi matumaini na serikali yetu yameanza kunipotea kabisaaaaaa!!!!unless ituambie kuwa ina agenda ya siri ya kueneza uislamu na kuwanyanyasa wakristo.jiulize swali dogo tu.kwa nini anapotawala rais wa kiislamu,lazima vurugu za kidini,na hasa ukatili kinyume na wakristo unashamiri?halafu angalia,viongozi wote wa juu wa serikali ni waislamu,japokuwa rais aliiyeyusha hii mada,lakini ukweli unabaki palepale.hebu angalia wakati wa mkapa,yeye alikuwa rais lakini makamu wake akawa mwislamu.hata alipofariki bado alichagua mwislamu.HUYO PINDA WALIOMPA UWAZIRI MKUU NDO HUYO WANAM-REMOTE CONTROL KAMA WANAVYOTAKA,KIASI AMBACHO ANAKUWA KAMA ANAOMBEA KIPINDI CHAKE KIISHE.ANGALIA JINSI LOWASA WALIVYOMBEBESHA SHUZI AMBALO KIMSINGI HALIKUWA LA KWAKE,ILI TU KUMFRUSTRATE.MBONA SIJAONA MOJA YA VIONGOZI WA JUU WA KIISLAM WAKIINGIA KWENYE SINTOFAHAMU NA SERIKALI?ccm isitufanye kuwa sisi ni watoto.tunaona yanayoendelea ila tunanyamaza tu.angalia jinsi yule mchungaji alivyochinjwa bila sababu,kisa eti kafungua bucha yake.angalia makanisa yanavyochomwa.angalia kashfa za udini vyuoni.jamani serikali,chukueni hatua.msisubiri mambo yameharibika ndio muanze kuhangaika.WAKATI WA MWINYI,HAYA MAMBO YALIKUWA YAKIIBUKAIBUKA KIMTINDO,ILA MWINYI ALIWEZA KUTUMIA BUSARA YA HALI YA JUU SANA KUYASOLVE,NA ALIKUWA ANATOA MSIMAMO WA SERIKALI,EG KUMBUKENI ILE ISSUE YA RUKSA KULA CHOCHOTE.LAKINI SASA HIVI HAKUNA MSIMAMO WA HEKIMA UNAOSOLVE MAMBO HAYA.UTAKUTA OOH TUMESIKITISHWA SANA NA HALI INAYOENDELEA.....OOH WAISLAM WAENDELEE KUCHINJA....NO SERIKALI INATAKIWA IKAE CHINI NA KUONA MAAMUZI YA BUSARA AMBAYO HAYATAATHIRI UPANDE WOWOTE..LAKINI HAWAFANYI HIVYO KWA SABABU SERIKALI YENYEWE INAONEKANA KAMA VILE IKO UPANDE MMOJA..HILI HATA CHIZI ANALIONA...CHRISTIANS ARE SO POLITE,BUT ONLY WHEN THE SYSTEM USE WISDOM TO SOLVE CRITICAL ISSUES.
 
Af tunajidai tuna usalama wa taifa,sijui hawa jamaa kazi yao ni nini?
 
Nimetembelea mji wa Dodoma kwa muda wa wiki moja na kukutana na mihadhara kadhaa ya uchochezi wa kidini.pia nimepita mitaani na kukutana na madrassa kadhaa zinazofundisha chuki za kidini na pia zinatoa mafunzo ya karate.Serikali imelala lakini kuna vuguvgu kubwa la udini linaloendelea mjini dodoma.

taja maeneo kabisa si wengine dom home town mpka wanako lala nzi tunapajua
 
Dodoma ni mji uliotumia gharama nyingi za serikali pasipo kuyaona maendeleo ya kweli, miaka mitatu niliyoishi hapo nligundua ni mji wa kiswahili kama Tabora (Manispaa ya Kwanza Tanganyika kabla hata ya DSM) na itachukua miaka mingi sana kubadilika, kifupi nguvu zinazowekwa na serikali kuiendeleza Dodoma zingewekwa maeneo kama MZa au Arusha tungekua na jiji la kujivunia.
Dodoma ni janga kwa budget zetu miaka nenda rudi pamoja na CDA yake.
 
jamani chama TWAWALA tushasema kuwa tumechoka jamani!!! kwa nini hamtuelewi jamani???
 
Kama Jk udin ndio ulimweka madarakani unategemea atakemea nini?Jk ni janga la kitaifa
 
taja maeneo kabisa si wengine dom home town mpka wanako lala nzi tunapajua

Tuanzie nyuma ya uwanja wa jamhuri stadium.
Ile mitaa ulipojengwa msikiti wa Gadaffi !
Nyuma ya mitaa ya TRA au tuseme CCM wilaya/manispaa
 
Back
Top Bottom