mkutano wa Chadema unaendelea kwa sasa katika ukumbi wa POLISI JAMII-dodoma,wapo akina bowe,Tundu,Silinde na wabunge mbalimbali wa Chadema.Kwa sasa Tundu Lissu ndiyo anafungua dimba
Afe 2 hana faida yeyote ktk taifa letu.mtamuua Nape jamani!!
Ni mahafali ya Wanafunzi wa Vyuo vikuu vyote vya Dodoma amboa ni wanachama wa CHADEMA
Kweli CHADEMA ni noma yaani wanatwanga kote kote sasa Nape sijui ataenda wapi akitoka Iringa maana leo CHADEMA wametema cheche Dar maeneo ya Tabata na Dodoma ukumbi wa polisi jamii.CCM hata waeanyeje hawauwezi moto wa M4C.