sijamuona Msalani aje hapa atetee kwa maslahi ya lumumba,ccm walisha kosa mamlaka mda mrefu sana ya kutawala
kinacho waweka madarakani ni vyombo vya usalama wa nchi tu,
jana HAPHREY POLEPOLE kamishina wa tume ya mabadiliko ya katiba alisema jambo moja kuwa waraka wa ccm umesha feli kabisa maana yale mambo ya msingi hasa ya kudhibiti madaraka ya rais wao ccm wamesema kuwa yatungiwe sheria,
sasa kama ccm wao wenyewe hawataki madaraka ya rais yadhibitiwe wameridhika na utawala huu na hizo zilizotengulia,maana anaamka rais LEO anasema MVURA wewe ni katibu wangu hotuba,na hakuna mtu yeyote anayeweza hata kuhoji
ccm uwezi mpa mtu kama Nape ukatibu wa itikadi na uenezi zao la daraja la 4 la mwisho ukategemea mikakati yako isivuje