Dodoma leo: Waraka wakusanywa

Waraka huo wanakusanya ili nini? Nani anajua kuwa wote wanakusanya? Lengo lilikuwa wawe nao au wausome? Kila kitu ni ubatili na kujilisha upepo.
 
huo waraka umeandikwa na yericko nyerere na ben saanane pale ufipa.
 
ccm inafanya siasa za kishamba na zilizopitwa na wakati vibaya mno ! Hivi ni akina nani ni washauri wa hiki chama ? HAKIKA CCM ITAKUFA NA HAITARUDI TENA .

Kabla CCM haijafa,itatangulia CDM kwanza kurudi ilipotoka


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
ha ha ha...., mkuu hapo mwisho umeuaaa
 
namuota mkeo wa kichina

Wakati mnayafanya hayo muwe mnajua jua kwa sasa mnajijali ninyi na matumbo yenu lakini mnasahau kuwa kuna vizazi vyenu vinavyo vitakavyo kuwepo wakati ninyi mkiwa wazee ndivyo vitakavyo umia zaidi na huo mfumo wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…