Dodoma kuwa jiji

Dodoma kuwa jiji

Simba Mkali

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
620
Reaction score
243
Kufuatia matengenezo ya barabara nyingi za mji wa Dodoma, kujengwa kwa Hazina ndogo na population ya watu Manispaa ya Dodoma itakuwa Jiji kufikia Julai 2014.

Source: Mkurugenzi wa Manispaa Dodoma.
 
Kufuatia matengenezo ya barabara nyingi za mji wa Dodoma, kujengwa kwa Hazina ndogo na population ya watu Manispaa ya Dodoma itakuwa Jiji kufikia Julai 2014.
Source: Mkurugenzi wa Manispaa Dodoma.


  • Je ni vigezo gani vingine hutumika kufanya mji uwe jiji? Ukiacha miundombinu na idadi yawatu.
Karibu
 
hv CDA ipo au imekufa maana.. mji mkuu hd leo et ni manispaaa, ndio kesho panakuwa jiji.

aibu sn. vunja CDA haraka...
 
Back
Top Bottom