Mhadzabe JF-Expert Member Joined May 20, 2009 Posts 3,246 Reaction score 4,755 Jun 20, 2015 #2 Picha zimenikumbusha pale MORISHENI kongwa!
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Jun 21, 2015 #3 Hivi yule mzee aliyepigwa mtama na green guard havishwa pop kweli???
uchungu JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 337 Reaction score 884 Jun 21, 2015 #4 Aisee kuna majimbo watu ni maskini mungu atunusuru tu
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 123,250 Reaction score 98,243 Jun 21, 2015 #5 mikatabafeki said: Hivi yule mzee aliyepigwa mtama na green guard havishwa pop kweli??? Click to expand... Mkuu hawa gg wa ccm ni hatari sana kwa ustawi wa demokrsia ya kweli
mikatabafeki said: Hivi yule mzee aliyepigwa mtama na green guard havishwa pop kweli??? Click to expand... Mkuu hawa gg wa ccm ni hatari sana kwa ustawi wa demokrsia ya kweli
C Camalillo Member Joined Oct 12, 2013 Posts 90 Reaction score 83 Jun 21, 2015 Thread starter #7 uchungu said: Aisee kuna majimbo watu ni maskini mungu atunusuru tu Click to expand... Mkuu toa solution nini kama taifa wafanye usiishie kulalama tu!
uchungu said: Aisee kuna majimbo watu ni maskini mungu atunusuru tu Click to expand... Mkuu toa solution nini kama taifa wafanye usiishie kulalama tu!
C Cuscoo Member Joined Mar 6, 2015 Posts 33 Reaction score 6 Jun 22, 2015 #8 Pambana kamanda mpaka kielewekee!
Ulukolokwitanga JF-Expert Member Joined Sep 18, 2010 Posts 8,397 Reaction score 7,979 Jun 22, 2015 #9 Ngoma imedoda kuanzia kwenye kupata wadhamini hadi wachangiaji wa thread. Ubinafsi wa huyu jamaa kwenda kuweka taa za barabarani kijijini kwake Chato wakati mkoani Geita hakuna taa ndio unamponza sasa
Ngoma imedoda kuanzia kwenye kupata wadhamini hadi wachangiaji wa thread. Ubinafsi wa huyu jamaa kwenda kuweka taa za barabarani kijijini kwake Chato wakati mkoani Geita hakuna taa ndio unamponza sasa
mweusi asili JF-Expert Member Joined Nov 11, 2014 Posts 2,049 Reaction score 3,380 Jun 22, 2015 #10 uchungu said: aisee kuna majimbo watu ni maskini mungu atunusuru tu Click to expand... inategemea umetafsiri vipi huo umasikini alafu inawezekana huyo mungu hahusiki na umasikini ndio maana binadamu anazaliwa mtupu!
uchungu said: aisee kuna majimbo watu ni maskini mungu atunusuru tu Click to expand... inategemea umetafsiri vipi huo umasikini alafu inawezekana huyo mungu hahusiki na umasikini ndio maana binadamu anazaliwa mtupu!