ni gharama kidogo sana,butvunatakiwa kujua nini unataka kufanya make unaweza kuwa na kampuni then isifanye kabisa kazi,pata ushauri na ikiwezekana shirikiana na wale wennye kampuni tayari,wengi naona wapo tayari kukupatia memorundam we una edit hasa objectives.
Mimi ni pia ni mmoja wapo ambaye nipo katika hatua za mwishoni kuanzisha organization yangu. Nitumie email yako ili nikutumie templates bure bila pesa. Maana haya ni maisha. Ukihitaji ushauri zaidi usisite kuwasiliana nami maana nieshaenda hatua kidogo hivyo ninaweza kukusaidia mawili matatu. 0752 205 261 au makandomende@gmail.com
Mimi ni pia ni mmoja wapo ambaye nipo katika hatua za mwishoni kuanzisha organization yangu. Nitumie email yako ili nikutumie templates bure bila pesa. Maana haya ni maisha. Ukihitaji ushauri zaidi usisite kuwasiliana nami maana nieshaenda hatua kidogo hivyo ninaweza kukusaidia mawili matatu. 0752 205 261 au makandomende@gmail.com