Doctors: Why we have hidden Ulimboka

Huyu jamaa ana funza kichwani mwake.Wadau unajua kuna wadau humu iq ndogo sana.Sasa tumemwona huyu hatuna haja ya kubishana ,tutaanzisha JF nyingine ili kuwachuja wenye upeo finyi,
 
hivi hawa ma dokta wa TANZANIA hawana habari nyingine zaidi ya ULIMBOKA. hadi inakera kila baada ya siku tatu ni habari ya ulimboka . nendeni mkatibu wagonjwa au AU KAMA HAMUWEZI ACHENI KAZI . kwani lazima muwe ma daktari si kazi nyingine zipo . kuna uhasimu, ujenzi,ubunge, siasa etc . TOKENI ZENU TUMEWACHOKA WAUAWAJI WAKUBWA WENYE TAMAA YA MAISHA MAZURI

wewe nawe utasema zimo?!!!! kumbe hjuihata uandishi wa habari na taaluma hiyo...wapi kuna hoja ya kutibu au kutofanya kazi, shirikisha ubongo kidogo kabla hujaandika chochote hapa.
 
Ulimboka atafikishwa mahakamani kama alifikishwa dr chitage kujibu mashtaka ya kuendesha mgomo uliozuiliwa na mahakama,ivo shtaka mojawapo ni kuidharau mahakama pamoja na mauaji ya wagonjwa ambao wangeweza kutibika

mkuu:
1.sijui umpeleke mahakamani kwa kosa lipi!!hebu pia hippocratic oath afu uone nani ana makosa!
2.Dr.Chitage hajawahi kufikishwa mahakamani(Dr.Namala Mkopi) ndiye aliyefunguliwa kesi

Inawezekana hujui unachokiandika kwa kukosa taarifa(and that doesnt excuse you from being called idiot here, kama great thinker kwanini usitafute ukweli ndiyo kuandika)?!!! au unajua ukweli halafu unapotosha(which is even worse).

Suala la kwenda mahakamani si jepesi kama unavyoandika hapa! Vifo ni kweli vilitokea vilivyoweza kuzuilika
na ushahidi upo,sasa unadhani kama hao ambao wanataka kwenda mahakamani walikuwa wanamsubiri huyo Dr.Ulimboka? au wanahitaji nini kufungua kesi kama tayari ushahidi upo!!!!

na pia mgomo uliitishwa na jumuiya ya madaktari na sio Raisi wa MAT ambaye ndiye aliyeshtakiwa..!!
 
Hivi madokta hawajui kilugha? Mbona wameandika tamko lao kizungu?

DUUUUUH, mkuu???
habari imetoka katika gazeti la kiingereza(The Citizen) na wanaoandika ni waandishi hivyo inasomeka hivyo kwa wateja wao ila shukrani kwa mkuu madibira1, katusaidia kidogo tuusome!!
 
hata wakiacha kutibu wataendelea kuitwa madokta,,,,,,nyerere aliacha kufundisha ila hadi anakufa akaendelea kuitwa MWALIMU,,,,

sasa huo udokta wako unakusaidia njaa tupu a maisha ya kubahatisha , hupati hela hadi umtishe mgonjwa ndio upate hela ya bia. njoo angalia other professionalz wengine wanavyokula kiuliani. njoo TRA, BANDARINI, PPF, NSSF, BUNGENI etc kiulaini yaani hadi raha. wewe utabakia kujiita dokta wa migomo hadi utakufa. kwanza mke wangu au mwanangu akiumwa nampeleka TMJ au AGHAKHAN kwa ma dokta wahindi sio nyie msije mkamuua bure kwa njaa zetu za bia
 
Acha kuropoka, madaktari hawakuwaita waandishi wa habari kuwaelezea habari za ulimboka ila mwandishi mwenyewe wa habari ndiye aliyemuuliza daktari kuhusu wapi yupo Dr.ulimboka. inamaana wewe ulitaka mwandishi wa habari asijibiwe?

kama kupigwa amepigwa , ameteswa nusu kufa . na hakuna kinachoendelea . au ulitaka wamle tigo kabisa ndio unyamaze . ungekuwa na akili timamu usingeongea tena kuhusu ulimboka
 
The fear of disclosure on the part of the perpetrators of that heinious crime against dr. Ulli can only be the sole reason for their burning desire to have him dead!
Thus said the earlier he spills the beans in broad daylight, in bare knuckles with no punches barred the better!
Once the dye is cast and the dark story is in the public domain; the motivation for gunning for our good doctor will diminish while the fear of recriminations against them will then take centre stage. Go for it MAT

kama nyie ni madokta wazuri sana si muende mkatafute kazi ulaya ,marekani au hata botswana . mnangangania muhimbili kuonea wagonjwa masikini. nendeni huko mkalete use...ge wenu muone kama hamtafungwa. nyambafu nyie
 
haya ni mawazo ya "baby boo" ambaye hajui uzalendo ni kitu gani.kwa hiyo yote anayoyasema kikwete ni sahihi na unayakubali kama juakalulu!?

wewe unayejua uzalendo umekusaidia nini zaidi kupiga kelele na kuishia kutekwa, kuliwa tigo, kungolewa meno na kucha
 
hivi kweli nchi hii ina wapumbavu. hivi ulitaka kila mtu awe daktari. na wote tungekuwa ma dokta nani angekuwa engineer, accountant, nurse , politician etc. nadhani wewe ni dokta au mwanafunzi wa md. njaa yenu mliyodhani kuwa dokta ni kuwa tajiri sasa imewatokea puani. heshimu na taaluma za wenzako fisi maji wewe. unadhani kuwa dokta ndio kila kitu? kikwete aliwaambia kama hujaridhika na kazi ,mazingira au mshahara unaruhusiwa kuondoka na kwenda unakoona utalipwa vizuri. na mimi nakushauri wewe si msomi kama hujaridhika na mazingira yako ya kazi then badirisha taaluma somea kitu kingine kama siasa,uchumi etc ili ukafanye kazi huko BUNGENI au BOT ukapate hayo mapesa ili uwe tajiri. otherwise mtaishia hivyo hivyo. kelele za .........hazimzuii mwenye nyumba kulala

yaani wewe kupe hata ungetaka kuwa Dokta usingeweza! udaktari sio kusema nataka wengi walitamani ila walishindwa na wanabaki wanawaonea wivu waliofanikiwa, nionavyo na wewe ni mmojawapo! hiyo ni noble profession inaheshimika enzi na enzi! pata picha madokta wote wakiondoka na wewe ukaugua kitu kidogo cha kuhitaji msaada wa haraka wa daktari au mtoto wako au mzazi au hata mwenza wako, hapo ndipo utakapojua thamani ya dokta! utagundua kuwa ni tofauti na engineer au accoutant kwani hao unaweza ukaweka appontment ya kumuona hata mwezi ujao lakini ukihitaji emergency service ya dokta ni sasa sio kesho!
 
KUPE ni jina baya sana! Kama una Elimu basi watoto au wazazi wako hawapo proud na wewe! Fisi maji mwenyewe!

ulidhani ili ujulikane una akili ni lazima uwe daktari. paka chongo wewe.
 
nchi imekombolewa lakini bajeti yake ni kwa hisani ya wafadhili.ukombozi wa kweli wa nchi hii unakuja

nakushauri fanyakazi kwa bidii upate pesa ikusaidie wewe na familia yako. achana na mambo ya bajeti . ukitaka bajeti gombea ubunge ukakae na akina zito kabwe
 
nakushauri fanyakazi kwa bidii upate pesa ikusaidie wewe na familia yako. achana na mambo ya bajeti . ukitaka bajeti gombea ubunge ukakae na akina zito kabwe

selfish!!ndivyo ulivyolelewa hivyo!you and your family!!!tell you dady i was here.....!!
 
yaani wewe kupe hata ungetaka kuwa Dokta usingeweza! udaktari sio kusema nataka wengi walitamani ila walishindwa na wanabaki wanawaonea wivu waliofanikiwa, nionavyo na wewe ni mmojawapo! hiyo ni noble profession inaheshimika enzi na enzi! pata picha madokta wote wakiondoka na wewe ukaugua kitu kidogo cha kuhitaji msaada wa haraka wa daktari au mtoto wako au mzazi au hata mwenza wako, hapo ndipo utakapojua thamani ya dokta! utagundua kuwa ni tofauti na engineer au accoutant kwani hao unaweza ukaweka appontment ya kumuona hata mwezi ujao lakini ukihitaji emergency service ya dokta ni sasa sio kesho!

kwani kabla ya uhuru kulikuwa na madokta wangapi? mbona watu waliishi au unadhani hakukuwa na magonjwa? hivi unadhani MHASIBU WA TRA , au BOT anatamani kuwa dokta. nyie ndio mnaitwa MAZUZU kama alivyosema nyerere baada utafute kitu cha kukupatia hela kiulaini ungangania ooh wewe dokta. sasa kula u dokta wako.
 
hivi hawa ma dokta wa TANZANIA hawana habari nyingine zaidi ya ULIMBOKA. hadi inakera kila baada ya siku tatu ni habari ya ulimboka . nendeni mkatibu wagonjwa au AU KAMA HAMUWEZI ACHENI KAZI . kwani lazima muwe ma daktari si kazi nyingine zipo . kuna uhasimu, ujenzi,ubunge, siasa etc . TOKENI ZENU TUMEWACHOKA WAUAWAJI WAKUBWA WENYE TAMAA YA MAISHA MAZURI

Inaonesha una chuki binafsi au hujui !! ungejaribu kujiuliza how far and hard one can go to become Dr usingesema haya!!! binafsi sio Dr ila nafahamu ugumu wake ,kinachopiganiwa na madaktari ni kwa maslahi ya watanzania wote iinasikitisha bado hatujawaelewa.
 
kwani kabla ya uhuru kulikuwa na madokta wangapi? mbona watu waliishi au unadhani hakukuwa na magonjwa? hivi unadhani MHASIBU WA TRA , au BOT anatamani kuwa dokta. nyie ndio mnaitwa MAZUZU kama alivyosema nyerere baada utafute kitu cha kukupatia hela kiulaini ungangania ooh wewe dokta. sasa kula u dokta wako.
mawazo yako yote yanaishia kwenye hela tu,njoo nikupe mimi ninazo za kutosha wala usihangaike kutafuta.
 
Back
Top Bottom