Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Kuna watu utu wameupoteza kabisa wanataka kuishi kama mbwa
 
Wa kwanza wewe apo πŸ˜‚
Ah besty mbona wanisingixia sasa...mie wala sikutii presha mie nafuatilia tuu wee ulikuwa wasema huu mwake eeh huu mwaka haupiti bila kula pilau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mie siwezi mwekea presha mwanamke kuolewa, mwanamke hana final say kwenye suala la kuolewa inabidi asubiri vijana wa hovyo mpaka pale watakapo kuwa tayari kwa majukumu ya ndoa
 
Umemaliza mkuu 100%, shida watu hawaoni mbali unangalia kesho wakat kuna kizazi kinakuja huko.
 
Nakubaliana na wewe mkuu. Binafsi nina trauma kutokana na mahusiano/ndoa ila sifikirii kuwa na ndoa tena au hivi karibuni.
 
Miongoni mwa misiba mikubwa inayosumbua vichwa vya wengi duniani ni KUTOJUA KUSUDIO LA NDOA na VIGEZO VYA MSINGI vya kumpata mwanandoa.Maafa haya ni matokeo ya sisi wenyewe kutojitambua. Hatujui tupo hapa duniani kwa lengo gani.
 
Una division four alafu una nitag mtu na degree yangu... Are you insane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shukrani sana Katibu Mkuu
 
Umesema ukweli kabisa kwa sasa wanaume ni watumwa wa wanawake
Na ndoa ni utumwa kabisa kwa wanawake wa sasa
Nakushauri pia usioeeee.
Kama unaweza kutunza tamaa zako

Dunia nzima ipo upande wa mwanamke,mwanamke ndie mlaji wa mwisho wa shughuli zoote za ulimwenguni.
Yeye ndie tajiri wa yoote.
Usije ukathubutu kuwa mtumwa.
 
chuo chetu kiko nyuma ya ubungo plaza mkabala na supermaket.... naomba uwe na heshima na wasomi wenzio tukiongea sawa? 🧐
Asali mnavuna vipi yaani kuvuna asali lazima usomee mkuu..

Au asali gani una maanisha., maana nawewe akili huna kabisa mda wote mnawazaga matusi tuu na mavi mavi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kutokujua sio shida shida ni kutokujua kama hujui

Kuoa in any way ni kama kipimo cha mtu kuwa stable kiakili bila kujali negative issues ambazo hutokea kwenye ndoa nyingi siku hizi

Mtu akiwa na 50 years na hajaoa bad enough ana watoto nje wengi ni mtu ambaye by natural social laws ataonekana hayuko sawa kiakili na hawezi kuaminika kwenye jamii na ndio maana hata nyadhifa fulani huwezi kupewa ukiwa singo kwenye taasisi ama serikalini boss

Mwanaume unapozaliwa moja ya mtihani ambao unakutana nao ni wa kuweza kutengeneza familia na kuimanage kwa ajili ya kutengeza kizazi nyuma yako ambacho kitakuwa stable ila ukiwa na perception kama yako hii tayr ushafeli mtihani kabla hujaufanya na wengine kwa kuogopa ndoa wameishia kwenye kutamani hata kuolewa ili wapate mteremko na wao mwanaume lazma ugangamale wanaume waoga mwisho wa siku wanaanza tabia za hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…