Do non-human animals have souls?

Do non-human animals have souls?

Ryan Holiday

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
3,485
Reaction score
5,917
Screenshot_20221223-190823_2.jpg


Peace be upon you

Let's go straight into the topic.

Did non-human animals have Souls? Yes, they have it.
We can try to analyze it through two definitions of the word "Soul".

1. Soul
- is the spiritual part of a human being or animal, regarded as immortal.
They believe death is just one step in a soul's journey through the universe.

2. Soul - Is the part of you (yaani wewe) ambayo imebeba your mind (akili), character (tabia), thoughts (mawazo) pamoja na feelings (Hisia).

A little bit of explanation in Swahili:-
Kwenye definition no.1 ya hapo juu kuhusu Nafsi/Soul unaweza ukaona kuna maneno mawili ya muhimu yaani Human Being pamoja na Animal. Hii inaonyesha kwamba human being pamoja na non-human being animals wote wana Nafsi/Soul.

Kwenye definition no.2 ya Nafsi/Soul, kwamba Nafsi imejumuisha na kubeba uwezo wa akili wa kiumbe hai. Kwa kushikilia tabia, hisia, mawazo, kufikiri, kumbukumbu n.k.

Hata maandiko matakatifu yametufunulia hilo kwenye kitabu cha Mithali 23:7 "Maana aonavyo nafsini mwake ndivyo alivyo. Akumbia, haya kula, kunywa, Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

Hitimisho: Mwanafalsafa nguli wa Ugiriki ''Aristotle'' alisema Nafsi ndiyo "msingi wa maisha". Hakimaanisha kwamba kila chenye uhai basi kina nafsi iwe mimea au wanyama. Bila ya Nafsi/Soul hakuna Uhai.

Thanks for being here👍​
 
View attachment 2456005

Peace be upon you

Let's go straight into the topic.

Did non-human animals have a Soul's? Yes, they have it.
We can try to analyze it through two definition of the word "Soul".

1. Soul
- is the spiritual part of a human being or animal, regarded as immortal.
They believe death is just one step in a soul's journey through the universe.

2. Soul - Is the part of you (yaani wewe) ambayo imebeba your mind (akili), character (tabia), thoughts (mawazo) pamoja na feelings (Hisia).

A little bit of explanation in Swahili:-
Kwenye definition no.1 ya hapo juu kuhusu Nafsi/Soul unaweza ukaona kuna maneno mawili ya muhimu yaani Human Being pamoja na Animal. Hii inaonyesha kwamba human being pamoja na non-human being animals wote wana Nafsi/Soul.

Kwenye definition no.2 ya Nafsi/Soul, kwamba Nafsi imejumuisha na kubeba uwezo wa akili wa kiumbe hai. Kwa kushikilia tabia, hisia, mawazo, kufikiri, kumbukumbu n.k.
Hata maandiko matakatifu yametufunulia hilo kwenye kitabu cha Mithali 23:7 "Maana aonavyo nafsini mwake ndivyo alivyo. Akumbia, haya kula, kunywa, Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

Hitimisho: Mwanafalsafa nguli wa Ugiriki ''Aristotle'' alisema Nafsi ndiyo "msingi wa maisha". Hakimaanisha kwamba kila chenye uhai basi kina nafsi iwe mimea au wanyama. Bila ya Nafsi/Soul hakuna Uhai.

Thanks for being here👍​
Thanks for inviting me...
Qn1:
Nini kinatokea kama ukichinja mbuzi??? Roho ya mbuzi inaenda wapi??
 
Thanks for inviting me...
Qn1:
Nini kinatokea kama ukichinja mbuzi??? Roho ya mbuzi inaenda wapi??
Energy doesn't die. It transforms, moves to the next place. I hope that next place is peaceful and loving place Pal'.🙏
 
View attachment 2456005

Peace be upon you

Let's go straight into the topic.

Did non-human animals have a Soul's? Yes, they have it.
We can try to analyze it through two definition of the word "Soul".

1. Soul
- is the spiritual part of a human being or animal, regarded as immortal.
They believe death is just one step in a soul's journey through the universe.

2. Soul - Is the part of you (yaani wewe) ambayo imebeba your mind (akili), character (tabia), thoughts (mawazo) pamoja na feelings (Hisia).

A little bit of explanation in Swahili:-
Kwenye definition no.1 ya hapo juu kuhusu Nafsi/Soul unaweza ukaona kuna maneno mawili ya muhimu yaani Human Being pamoja na Animal. Hii inaonyesha kwamba human being pamoja na non-human being animals wote wana Nafsi/Soul.

Kwenye definition no.2 ya Nafsi/Soul, kwamba Nafsi imejumuisha na kubeba uwezo wa akili wa kiumbe hai. Kwa kushikilia tabia, hisia, mawazo, kufikiri, kumbukumbu n.k.
Hata maandiko matakatifu yametufunulia hilo kwenye kitabu cha Mithali 23:7 "Maana aonavyo nafsini mwake ndivyo alivyo. Akumbia, haya kula, kunywa, Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

Hitimisho: Mwanafalsafa nguli wa Ugiriki ''Aristotle'' alisema Nafsi ndiyo "msingi wa maisha". Hakimaanisha kwamba kila chenye uhai basi kina nafsi iwe mimea au wanyama. Bila ya Nafsi/Soul hakuna Uhai.

Thanks for being here👍​
How does this help us? Go study them. The soul thing is a biblical and quranic fiction. If they eat like you do, and you are an animal like they are, indeed, whatever you have they must have.
 
Back
Top Bottom