Kwani huyo ni mkeo au ni msichana umezaa naye? Kama ni mkeo nakuomba ujikaze kisabuni kitanda hakizai haramu, kama ni mpenzi wako mlizaa naye wewe mchukue mtoto mpeleke kwa mama yako au shangazi yako akimwangalia atakwambia tu kuwa ni damu yako au la, haya mambo ya kwenda kupima unaweza ukawa kama Michael Jackson bure.