Kwa sasa haya mambo yanawezekana, kupitia DNA unaweza kujua kama jamaa alimwingilia au lah, labda pengine jamaa hakuwa na uelewa au wakili wake naye kanjanja, ila angeomba vipimo na majibu ya DNA kudhibitisha, na hilo lingethibitika, maana huwez sema uchunguzi wa kesi ya ubakaji umekamilika, kama hakuna forensic investigations zinazomhusisha mtuhumiwa na kitendo alichofanya.