kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,573
Nimekua mfuatiliaji sana wa kesi mbalimbali na kati ya kesi hizo ni za ubakaji. Nilichokigundua ni kua hakuna kesi rahisi kutengeneza kama ubakaji.
imeshughudia kesi nyingi ambazo zinaonekana kabisa kusukwa hasa kwa kuwatumia wanafunzi. Moja ya kesi ni kuwa kijana alituhumiwa kutembea na mwanafunzi katika mahojiano na wakili. Yule mwanafunzi akaulizwa huyo kijana ndio aliyemtoa bikra ? ? Wakili wa upande wa pili akazuia swali lisijibiwa ila mwanafunzi akajibu hapana. It means kuna walaji wengine.
Wakili akaomba kitumike kipimo cha DNA kubaini kama alihusika,, wakili wa utetezi akasema kwa kua binti hakupata ujauzito hakuna haja.
Siku ya hukumu kijana akahukumiwamiaka 30 jela, cha ajabu binti ndo alizimia badala ya yule kijana. Baada ya kufuatilia ikagundukika wazazi wa binti walikua na familia ya kijana walikua na mgogoro.
Baada ya kuzinduka alipoulizqa kwann alipata mshtuko wakati ndo alitendwa akajib hakujua kama kijana angehukumiwa miaka 30 jela.
Baada ya muda ikagundulika kijana hakua na mahusiano na na binti(mwanafunzi) bali dada yake ambaye alishamaliza chuo na ilishindikana kuoana kutokana na tofauti za kidini ambapo wazazi wa binti walimshinikiza kijana abadili dini. Iliposhindikana wakabwagana. Akaona mwanamke mwingine.
imeshughudia kesi nyingi ambazo zinaonekana kabisa kusukwa hasa kwa kuwatumia wanafunzi. Moja ya kesi ni kuwa kijana alituhumiwa kutembea na mwanafunzi katika mahojiano na wakili. Yule mwanafunzi akaulizwa huyo kijana ndio aliyemtoa bikra ? ? Wakili wa upande wa pili akazuia swali lisijibiwa ila mwanafunzi akajibu hapana. It means kuna walaji wengine.
Wakili akaomba kitumike kipimo cha DNA kubaini kama alihusika,, wakili wa utetezi akasema kwa kua binti hakupata ujauzito hakuna haja.
Siku ya hukumu kijana akahukumiwamiaka 30 jela, cha ajabu binti ndo alizimia badala ya yule kijana. Baada ya kufuatilia ikagundukika wazazi wa binti walikua na familia ya kijana walikua na mgogoro.
Baada ya kuzinduka alipoulizqa kwann alipata mshtuko wakati ndo alitendwa akajib hakujua kama kijana angehukumiwa miaka 30 jela.
Baada ya muda ikagundulika kijana hakua na mahusiano na na binti(mwanafunzi) bali dada yake ambaye alishamaliza chuo na ilishindikana kuoana kutokana na tofauti za kidini ambapo wazazi wa binti walimshinikiza kijana abadili dini. Iliposhindikana wakabwagana. Akaona mwanamke mwingine.