zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Mbunge mmuja akkisema bungeni koplo wa JWTZ ni eqivalent na Inspector wa Police. Hata wao hawjionei huruma.
Hli kweli kbs nlsha ambiwa mwanajeshi mmoja hv
Mbunge mmuja akkisema bungeni koplo wa JWTZ ni eqivalent na Inspector wa Police. Hata wao hawjionei huruma.
Katika mazingira kama haya, kila kitu kinachosemwa na Ulimboka kinaweza kuchukuliwa kuwa ni kweli.
ilitakiwa ale kichapo km mwenzie wa jana jamani
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Source (Mimi mwenyewe-nilikuwepo)
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Source (Mimi mwenyewe-nilikuwepo)
Ungekuwa wewe ungekwenda kwenye vyombo vya habari?au unaongea tu tujue nawewe upo?wanaweza kuuana viongozi sembuse yeye mtu mdogo akajisemeshe kwenye vyombo ambavyo mwisho wake kifo kisichokuwa chahii thread ina uongo mwingi. kama shahidi ni wewe mwenyewe, jitokeze kwenye vyombo vya habari useme kwa uwazi kisha uende polisi...
tuach kudanganyana ndugu zanguni
Ukisema usalama unaanisha POLISI au USALAMA!!Tanabaisha wazi manake POLISI ni usalama kwa maana ya lugha lakni haipaswi kutamkwa Usalama wakati kuna matumizi ya neno POLISI kwa ujumla wake.Usichanganye USALAMA kuwa POLISI.Nani nimesikia kumbe ni kweli usalama ndio wanahusika
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Ahhhhhh, nimesikia eti ni yule baunsa anayekaaga nyuma ya Dr. slaa!!!! Jamani mnataka kuchafua jina la CDM nyie, mmetumwa nini!!!???
Ukiona mtu mzima kama wewe anatambaa kama mtoto mdogo kuna kasoro kubwa ya akili yake. Kwenye msiba kama huu we unaleta mzaha, basi wewe ni mchawi.