Justard zelphine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 348
- 166
Hata kama alibaki mwenyewe, haijalishi! Lakini waulize akina Lugemalia na Seith, watakwambia walichokipata!Ni kweli aliwanyoosha wezi ili abaki mwizi pekee yake na alifanikiwa kweli yeye na Mayanga Construction