Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 356
Kabla ya Dkt Slaa kumaliza muda wake wa ubalozi aliwahi kuhojiwa tarehe 5 Oktoba 2021 siku chache tu kabla kipindi chake cha Ubalozi kukamilika alinukuliwa akisema ๐ค๐๐ญ๐ข๐๐ ๐ฆ๐ฉ๐ฒ๐ ๐ฌ๐ข ๐ฆ๐ฎ๐ก๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐๐ฌ๐๐ฌ๐ ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐ฃ๐ข๐๐ฎ ๐ฅ๐ ๐ฆ๐๐ญ๐๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ฒ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐ง๐๐ก๐ข vilevile asingependa kuwa mshauri wa mambo ya siasa. (๐๐๐ง๐๐ก๐๐ซ๐๐ค๐๐ญ๐ข ๐ง๐๐ค๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐ง๐๐ฒ๐จ ๐ฆ๐ฌ๐ข๐ฃ๐ข๐ฌ๐๐ก๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐).
Only person with a single digit IQ anaweza kumuamini kuwa Dkt Slaa anasema ukweli..! Kuna jambo alikuwa analisikilizia ๐ก๐๐ฉ๐.
Dkt. Slaa alikwenda mbali zaidi na kukiri mambo makubwa mawili ndani ya CHADEMA.
May be he was absolutely right na kusema kwamba ndani ya CHADEMA kuna vikundi vya Utekaji inawezekana waliompiga Lissu risasi ni CHADEMA wenyewe.!
Anakiri wazi aliwahi kuisema serikali na usalama wa Taifa kwa mambo yaliyofanywa na ๐๐๐๐๐๐๐ wenyewe kwa kuita waandishi wa vyombo vya habari.
Jambo la Pili ni kuwashukia vikali wale wafuasi wa CHADEMA waliokuwa wakisema ๐๐๐จ๐ฐ๐ ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐๐๐ข๐๐ข, Dkt Slaa alisema anachukizwa wazi anaposikia sauti za watu wakisema Mbowe siyo Gaidi na hapendi kusikia hayo maneno.
Kwa kipindi chote hiki Dkt. Slaa alikuwa anatega kuendelea huenda akateuliwa kuwa Balozi au kupewa nafasi nyingine tatizo amekosa kile kinachoitwa Politics maturity so he failed an art of staying sober without being in a position.
Maisha bila cheo ni magumu. Uvumilivu umemshinda Dkt Slaa kupitia sauti ya Wananchi chama alichotaka kukiasisi kupitia kwa watu fulani (๐๐ฎ๐ญ๐๐ฐ๐๐ญ๐๐ฃ๐) aliona kitachukua muda mrefu kupata usajili ameomba ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฅ๐ ๐๐๐๐ก๐ wameketi mezani na Mbowe kwa ajili ya kupata share yake.
Muda wowote kuanzia sasa Dkt. Slaa anaingia CHADEMA kama mmiliki mwenza pamoja na Mbowe ameomba kupewa nafasi ya Naibu Mwenyekiti cheo ambacho kimsingi hakipo kwenye katiba ya CHADEMA.
๐๐จ๐ญ๐จ ๐ฎ๐ฆ๐๐ฐ๐๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ง๐ฒ๐ข๐ค๐, ๐๐ฐ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ง๐ ๐๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ. ๐๐๐ฐ๐๐ฆ๐ญ๐๐ค๐ข....!!!
Only person with a single digit IQ anaweza kumuamini kuwa Dkt Slaa anasema ukweli..! Kuna jambo alikuwa analisikilizia ๐ก๐๐ฉ๐.
Dkt. Slaa alikwenda mbali zaidi na kukiri mambo makubwa mawili ndani ya CHADEMA.
May be he was absolutely right na kusema kwamba ndani ya CHADEMA kuna vikundi vya Utekaji inawezekana waliompiga Lissu risasi ni CHADEMA wenyewe.!
Anakiri wazi aliwahi kuisema serikali na usalama wa Taifa kwa mambo yaliyofanywa na ๐๐๐๐๐๐๐ wenyewe kwa kuita waandishi wa vyombo vya habari.
Jambo la Pili ni kuwashukia vikali wale wafuasi wa CHADEMA waliokuwa wakisema ๐๐๐จ๐ฐ๐ ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐๐๐ข๐๐ข, Dkt Slaa alisema anachukizwa wazi anaposikia sauti za watu wakisema Mbowe siyo Gaidi na hapendi kusikia hayo maneno.
Kwa kipindi chote hiki Dkt. Slaa alikuwa anatega kuendelea huenda akateuliwa kuwa Balozi au kupewa nafasi nyingine tatizo amekosa kile kinachoitwa Politics maturity so he failed an art of staying sober without being in a position.
Maisha bila cheo ni magumu. Uvumilivu umemshinda Dkt Slaa kupitia sauti ya Wananchi chama alichotaka kukiasisi kupitia kwa watu fulani (๐๐ฎ๐ญ๐๐ฐ๐๐ญ๐๐ฃ๐) aliona kitachukua muda mrefu kupata usajili ameomba ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฅ๐ ๐๐๐๐ก๐ wameketi mezani na Mbowe kwa ajili ya kupata share yake.
Muda wowote kuanzia sasa Dkt. Slaa anaingia CHADEMA kama mmiliki mwenza pamoja na Mbowe ameomba kupewa nafasi ya Naibu Mwenyekiti cheo ambacho kimsingi hakipo kwenye katiba ya CHADEMA.
๐๐จ๐ญ๐จ ๐ฎ๐ฆ๐๐ฐ๐๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ง๐ฒ๐ข๐ค๐, ๐๐ฐ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ง๐ ๐๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ. ๐๐๐ฐ๐๐ฆ๐ญ๐๐ค๐ข....!!!