PAYE
JF-Expert Member
- Jun 19, 2025
- 354
- 395
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dtk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo Serikali itajenga soko kubwa la Kinyasini lenye miundombinu ya kisasa kwa ajili ya wafanyabiashara na wakulima.
Dkt. Mwinyi mesema kuwa ujenzi wa soko hilo utaleta ajira, kuimarisha biashara na kuinua kipato cha wananchi wa eneo hilo na Zanzibar kwa ujumla.