PreGE2025 Dkt. Mwinyi ashiriki kikao cha NEC

PreGE2025 Dkt. Mwinyi ashiriki kikao cha NEC

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,770
Reaction score
1,173
DKT. MWINYI ASHIRIKI KIKAO CHA NEC

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameshiriki kikao cha kawaida cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Juni, 2024.

20240630_183749_InSave_2.jpg
20240630_183749_InSave_5.jpg
20240630_183749_InSave_6.jpg
20240630_183749_InSave_3.jpg
20240630_183749_InSave_4.jpg
20240630_183749_InSave_0.jpg
20240630_183749_InSave_1.jpg
 
Back
Top Bottom