GE2025 Dkt. Mwigulu atimba na bodaboda kuchukua fomu

GE2025 Dkt. Mwigulu atimba na bodaboda kuchukua fomu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

KIJICHO PEVU

Member
Joined
May 4, 2024
Posts
69
Reaction score
49
Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba, amesindikizwa na Mamia ya Wafuasi na Wanachama wa CCM kuchukua fomu ya Ubunge, hatua itakayomuweka rasmi katika mbio za kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.

#KaziNaUtuTunasongaMbele.

FB_IMG_1756271662906.jpg
FB_IMG_1756271666518.jpg
FB_IMG_1756271673892.jpg
FB_IMG_1756271679884.jpg
FB_IMG_1756271682584.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1756271689090.jpg
    FB_IMG_1756271689090.jpg
    128.4 KB · Views: 15
  • FB_IMG_1756271691753.jpg
    FB_IMG_1756271691753.jpg
    122.9 KB · Views: 20
DKT. MWIGULU ATIMBA KUCHUKUA FOMU YA UBUNGE NA BODABODA

Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba, amesindikizwa na Mamia ya Wafuasi na Wanachama wa CCM kuchukua fomu ya Ubunge, hatua itakayomuweka rasmi katika mbio za kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.

#KaziNaUtuTunasongaMbele.
Tatizo siyo mwiguuuuu tatizo ni WA tz, hawana akili!!!
 
DKT. MWIGULU ATIMBA KUCHUKUA FOMU YA UBUNGE NA BODABODA

Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba, amesindikizwa na Mamia ya Wafuasi na Wanachama wa CCM kuchukua fomu ya Ubunge, hatua itakayomuweka rasmi katika mbio za kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.

#KaziNaUtuTunasongaMbele.
Uhuni tu,
 
DKT. MWIGULU ATIMBA KUCHUKUA FOMU YA UBUNGE NA BODABODA

Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba, amesindikizwa na Mamia ya Wafuasi na Wanachama wa CCM kuchukua fomu ya Ubunge, hatua itakayomuweka rasmi katika mbio za kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.

#KaziNaUtuTunasongaMbele.
Mimi mnipe tu namba ya huyo mdada aliyemkabidhi hiyo fomu. Huko ndiko furaha yangu iliko. Sihitaji kitu kitu kingine.
 
DKT. MWIGULU ATIMBA KUCHUKUA FOMU YA UBUNGE NA BODABODA

Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba, amesindikizwa na Mamia ya Wafuasi na Wanachama wa CCM kuchukua fomu ya Ubunge, hatua itakayomuweka rasmi katika mbio za kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.

#KaziNaUtuTunasongaMbele.
Baada ya hapo anapanda V EITE
 
Ndo usafiri wake huo na dala dala na mwendokasi kila siku. Kazi kwenu wananchi muoneeni huruma anapanda sana bodaboda na mwendokasi anateka mno.
 
DKT. MWIGULU ATIMBA KUCHUKUA FOMU YA UBUNGE NA BODABODA

Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba, amesindikizwa na Mamia ya Wafuasi na Wanachama wa CCM kuchukua fomu ya Ubunge, hatua itakayomuweka rasmi katika mbio za kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.

#KaziNaUtuTunasongaMbele.
Baada ya hapo for the next 5 years ni vx or ndege, bodaboda hatakaa aguse

Ni lini mtajifunza watanganyika? 🤣
 
DKT. MWIGULU ATIMBA KUCHUKUA FOMU YA UBUNGE NA BODABODA

Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba, amesindikizwa na Mamia ya Wafuasi na Wanachama wa CCM kuchukua fomu ya Ubunge, hatua itakayomuweka rasmi katika mbio za kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.

#KaziNaUtuTunasongaMbele.
ANGEKUWA HANA HELA SIJUI ANGEFANANAJE!
 
Back
Top Bottom