residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,029
- 9,623
Nina rafiki yangu anajenga kituo cha mafuta huko Wilaya ya Mkuranga. Siku moja ameniambia kuwa kafuatwa na kiongozi mkubwa tuu wa CCM kata fulani akimwambia kuna "cement maalumu" ya dili kwa bei nzuri.
Kusema ukweli pale Mwarusembe, Kimanzichana, Mkiu na Jaribu kuna hujuma kubwa sana inafanyika kwa miradi ya ujenzi na wafanyabiashara,hasa magari ya kubeba cement ya twiga, magari ya mafuta na magari ya kubeba udongo wa kutengenezea vigae - Goodwill.
Kusema ukweli pale Mwarusembe, Kimanzichana, Mkiu na Jaribu kuna hujuma kubwa sana inafanyika kwa miradi ya ujenzi na wafanyabiashara,hasa magari ya kubeba cement ya twiga, magari ya mafuta na magari ya kubeba udongo wa kutengenezea vigae - Goodwill.