Naibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema Kazi zote alizofanya hayati Magufuli zilikuwa na mkono wa Rais Samia
Magufuli alikuwa anapakua Chakula kilichopikwa na Makamu wake jikoni ndio sababu miradi Yote aliyoacha Magufuli inakwenda kwa kasi.
Dr. Mollel amesema kwa mfano Hospital ya Rufaa Chato, Magufuli aliacha ujenzi ukiwa 40% na Rais Samia ameendeleza hadi sasa umefikia 98%
Source Star tv The Big Agenda