Dkt. Mollel: Hayati Magufuli alikuwa anapakua Chakula kilichopikwa na mama Samia. Hawa ni kitu kimoja

Kama alikuwa anapakua kilichopikwa na huyo kwa nini kwa sasa vyote vimechacha?sgr imekufa kifo cha mende,miradi ya madaraja ya juu Dsm haina ubora(zinamabonde mabonde na nyembamba kiasi kwamba gari zinaweza kukwanguana),brt zote mbayambaya,bwawavla nyerere linasuasua haieleweki itaisha lini na miradi mingine mingi tu imechcha
 
Cc Lusungo
 
Huyu mkoma naye akaage kimya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…