GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Kusoma darasani ni kitu kimoja, Lengo la elimu ni kutoa facts, kuchambua na kuweza kupambana na mazingira yanayobadilikaAnayetamka mambo ya hirizi kuhusu zitto hana ufahamu hata robo ya ufahamu wa zitto kuhusu uchumi na fedha. zitto ni wa kiwango cha juu sana kuliko hao wanaomkosoa. Fikiri mara 100 unapotaka kumkosoa zitto kabwe.
Uhasibu sio makaratasi au kusoma darasani
Kuna kipindi zito alipeleka kipengele cha Transfer pricing pale makampuni ya gesi yanapobadili gia angani na kuuziana share kinyemela kuwa yanapaswa kutoa gawio kwa serikali alipingwa na hao wachumi mpaka hao maprofesa uchwara
Ishu baada ya kuzaa matunda kelele kimya
Hoja hazijibiwi kwa notes za darasani bali kwa uchunguzi na kusoma taarifa mbalimbali za eneo husika
Huyo Johaness anazijua BoT reports ?