Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
S I P E N D IWewe unapenda?
S I P E N D IWewe unapenda?
Hapo ndipo tunapokwama.Uzi mzuri but still iko kwenye level ya watu wadogo! Tunajadili watu badala ya vitu na mawazo mapya. Nilijua inahusu namna ya kuwa km Mengi. Mengi kaacha legacy, how about us? GUYS THINK BIG! Mashoga wengi mjini mpk kero.
Miaka uliyoweka hapo juu nakumbuka Bss ya madam ndio ilikuwa inaanza akawa anafanyia Itv inamaana kipindi hiyo alikuwa bado hajawa na ukaribu na madam?nilijuwa miaka hiyo ndio walikuwa karibu ndio maana akapata shavu la kipindi chake kurushwa pale.Hii ilikuwa product ya mzee miaka ya around 2008-2010, kabla ya Madam Rita.
Kama kumbukumbu zangu hazinidanganyi, kuna picha ziliwahi kusambaa kwenye blogs za New Year Party ya IPP Family na threaded emails, huyu ndiye alikuwa mshika dau by then. Nimezitafuta zile picha bila mafanikio.
Hawa sasa ndio walitakiwa wawe makada wa Chama Cha Mapinduzi!
Fiderine IRANGAFid.. I hapo nimekurahisishia
Lilian
Yuko wapi sasa hivi?juzi kati msibani alionekana?Lilian
"Khadija Kopa akiacha pengo itaendelea taarabu? Komba naye akianguka itaendelea kwaya? Achimenengule Band wenzake si wataigwaya? Huwa nawaza sana siku akitutoka Ndugu Mengi,nani ataziba pengo na huyu kipenzi cha wengi?" - Waswahili PENGO 2003
Hizo "Likes" ingekuwa ni Pesa zinaingia kwenye Account ingekuwa Poa sanaa. Si kila anaekuchekea na kukupa likes kafurahishwa nawe, wengine wanashangaa "U-bogus" wako hadi inawabidi watoe likes tuu!
Kumbe ndio maana walikuwa hawapatani na dadakeNancy Mme aliyemuoa kamla Dada yake akampiku kaolewa yeye
Piga hesabu, Madam alimzaa binti yake wa kwanza akiwa na miaka 14Kama binti ana almost 38. Mama mtu anaweza kuwa na miaka mingapi ?
Lilian.... Mengi nae alikuwa wamoHii picha nimeona kwenye page moja huko IG,unamtambua huyu binti anaitwa nani?kwa mwonekano wa picha inaonyesha walikuwa kwenye mahaba na mzee
View attachment 1095217
HakuwepoYuko wapi sasa hivi?juzi kati msibani alionekana?
Haswaa!!Hapo ndipo tunapokwama.
Sawa sawaPiga hesabu, Madam alimzaa binti yake wa kwanza akiwa na miaka 14
ila dada mkubwa alitugeia ubuyu kuwa Salama nae aliwah kubakwaa na ndio chanzo cha kipindi cha kukosoa video kufaaYa Salama na Regina naijua toka Niko shule enzi hizo Advance,na kuna mdada wa Rozela Saloon (saloon za kishua za enzi hizo)salama alikua anamsumbua balaa!!!mdada ana mchumba wake Salama anakomaa Ile ileHahaaa forever young duuhhh!!!anaenda club jamani chaaa
Alibakwa ukubwani hivi hivi?ila dada mkubwa alitugeia ubuyu kuwa Salama nae aliwah kubakwaa na ndio chanzo cha kipindi cha kukosoa video kufaa
ndio, kile kipindi cha ukosoaji kilimletea balaa, tena dada mkubwa kaileta hivi karibuni wakat anakosoa kipindi cha Mai na Lokole "nipe code", akasema hawatodum wamuulize Salama yalomkutaaAlibakwa ukubwani hivi hivi?