Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Ahsante pia sikufahamu lakini naona ni mtu mstaarabu the way unavyojibu watu wengine... Unajibu kihekima zaidi
Nitakwambia kitu hapa, humu ndani tulioko ndiyo tulio nje.
Ingawa wakati mwingine tunajificha kwa ID fake, lakini bado tuna wajibu wa kupeana heshima kama ilivyo nje.
Shukrani kwa compliment.