"Uchaguzi ni mamlaka ya Umma, ni mamlaka yetu sisi raia, sisi raia tumekubaliana kwa mujibu wa katiba kila baada ya miaka 5 tufanye tathmini, kwa kufanya hivyo tutapitia ahadi wanazozileta zile za elfu mbii kuja 25, ssa kuzuia uchauzi ni sawa na kusema wwe unataka kutuzuia sisi raia kutekeleza wajibu wetu, kupata haki yetu na kuamua hatima yetu, hili ni kosa kubwa sana katika taifa lolote" amesema -Dkt.Marcus Alban ambaye pia Mtaalam wa Uchumi na Mchambuazi wa Siasa akiwa katika Mahojiano ya Kipindi cha Dakika 45 cha ITV
ayo