Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,023
- 1,609
Dkt. Kedmon Elisha Mapana ameteuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA)
Dkt. Mapana anachukua nafasi ya Bw. Godfrey Lebejo Mngereza ambaye amefariki dunia. Kabla ya Uteuzi huo Dkt. Mapama alikuwa Mhadhiri Mkuu, Idara ya Sanaa Bunifu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Dkt. Mapana anachukua nafasi ya Bw. Godfrey Lebejo Mngereza ambaye amefariki dunia. Kabla ya Uteuzi huo Dkt. Mapama alikuwa Mhadhiri Mkuu, Idara ya Sanaa Bunifu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam