Dkt. Magufuli apata wadhamini Mtwara

Dkt. Magufuli apata wadhamini Mtwara

Camalillo

Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
90
Reaction score
83
c0935143a2d83121bbd942cf5fa0d23b.jpg
9f1b96bb569b3e117ddf1f2e4303d9ab.jpg
ac0c5c53f0e0f4efa01dc2e85479435b.jpg
b6a52351c9f738e91e365a6b3fd3c215.jpg
8a60e8ac220104a6c315ae1da21a5f6a.jpg
 
Kimya kimya hadi kieleweke! Dr. Magufuli ndiye atapeperusha bendera ya CCM dhidi ya wagombea toka vyama vya upinzania. Dr. Magufuli anakubalika na amefuata masharti ya chama wakati wa kutafuta wadhamini. Hapigi kampeni na wala hana ilani yake mfukoni na wala hajifanyi maarufu kuliko chama. Anasubiri ilani ya chama ili aitumie.
 
Kimya kimya hadi kieleweke! Dr. Magufuli ndiye atapeperusha bendera ya CCM dhidi ya wagombea toka vyama vya upinzania. Dr. Magufuli anakubalika na amefuata masharti ya chama wakati wa kutafuta wadhamini. Hapigi kampeni na wala hana ilani yake mfukoni na wala hajifanyi maarufu kuliko chama. Anasubiri ilani ya chama ili aitumie.

Sifa nyingine kubwa hana siasa za kuchafuana!
 
Dr.Magufuli anauzika kwa Wananchi hauziki Cc, Halmashauri kuu wala Mkutano mkuu kwa kuwa huko inatazamwa Fedha ya Mgombea sio Wasifu wa Mgombea!!
 
kwa mtwara hiyo ni familia moja kazi anayo.
 
kwa mtwara hiyo ni familia moja kazi anayo.

Kwa taarifa tu, anachokifanya ni kama kampuni ya Apple alivyoisimamia Steve Job na ikajulikana "highly - secretive company" mwisho wa siku ni kampuni inayoongoza/successful kwa tech duniani!

Also refer to your avatar!!!!
 
Nllipenda nimwone na Edward Lowassa akisaini fomu kama anavyoonekana Magufuli.
 
Magufuli ni kiongozi mahiri sana anasifa zote za kuwa kiongozi.
 
Mungu inusuru Tanzania na watanzania,tupe MAGUFULI Kuwa rais wetu tunampena tunamuitaji,ana kila sifa ya rais taifa linamtaka kwa ss,tutapata
1,baraza LA mawaziri makini,
2,viongozi wachapa kazi sio wachora duri
3,mwisho wa rushwa
4,kiongozi anaejiamini Kuwait anaweza kuongoza,sio kuongozwa na marafiki
 
amepata au amewanunua,kila Mgombea anatoa fedha,makongoro katoa elfu20,wenye kadi wamepata neema kipindi hiki
 
Mungu inusuru Tanzania na watanzania,tupe MAGUFULI Kuwa rais wetu tunampena tunamuitaji,ana kila sifa ya rais taifa linamtaka kwa ss,tutapata
1,baraza LA mawaziri makini,
2,viongozi wachapa kazi sio wachora duri
3,mwisho wa rushwa
4,kiongozi anaejiamini Kuwait anaweza kuongoza,sio kuongozwa na marafiki

Naunga mkono hoja!
 
Songa mbele kamanda!
Dr. Magufuli amejipambanua kuwa tofauti na wenzake. Hivi Waziri kwenye serikali iliyopo madarakani unasimama na kuanza kulalamika! Unalalamika nini dhidi ya serikali ambayo wewe unaketi kwenye barazala mawaziri. Dr. Magufuli anasubiri ilani ili aitendee haki.
 
Dr. Magufuli amejipambanua kuwa tofauti na wenzake. Hivi Waziri kwenye serikali iliyopo madarakani unasimama na kuanza kulalamika! Unalalamika nini dhidi ya serikali ambayo wewe unaketi kwenye barazala mawaziri. Dr. Magufuli anasubiri ilani ili aitendee haki.

Nimejifunza mengi katika hili, papala mbaya sana Magufuli kalikwepa hilo!
 
Kimya kimya hadi kieleweke! Dr. Magufuli ndiye atapeperusha bendera ya CCM dhidi ya wagombea toka vyama vya upinzania. Dr. Magufuli anakubalika na amefuata masharti ya chama wakati wa kutafuta wadhamini. Hapigi kampeni na wala hana ilani yake mfukoni na wala hajifanyi maarufu kuliko chama. Anasubiri ilani ya chama ili aitumie.

Mzee wa kimya kimya !
 
Back
Top Bottom