4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,515
- 13,352
Mkuu sayansi ya siasa, muulize mh bashiru si nasikia ana PhD ya Mambo ya siasa japo haifanyi vizuri , maana kwa mwaka huu Moto mkali pande zote za tzAliwakataza msichangie ujenzi wa maabara ya shule leo anawaambia mumchangie yeye! Wajinga hawatoisha dunia hii.
MAGUFULI4LIFE.