DOKEZO Dkt. Kisenge tafadhali tulia ofisini, JKCI inaharibika

DOKEZO Dkt. Kisenge tafadhali tulia ofisini, JKCI inaharibika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

BabuFey

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
2,767
Reaction score
4,400
Dkt. Kisenge tafadhali Tulia ofisini Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), nikueleze.

Madaktari wa OPD Sina neno nao isipokuwa mmoja mtu wa Kagera ana lugha chafu sana.

Tuanze kwenye kupima BP wahudumu hutoka kila baada ya kupima watu kumi.

Pharmacy kumeoza mtu wa computer huwa anachezea game badala ya kuandika Ankara ,Watoa dawa hutumika sàa moja tangu uwafikie.

Mrudisha kadi yule mwenye miwani ana maudhi sana hujiona kama jogoo mbele ya tembe anatoa kadi Moja Kisha simu na kuongea na wageni wake muda mwingi

Maabara ya ISO sawa na kibanda cha chips.

Tulia ofisini Wacha drama za akina Makonda na wanasiasa kuwa professional

Wakatabahu

Mteja wenu wa miaka mitano nikilea moyo wangu bila kuambiwa una shida gani.
 
Dr Kisenge tafadhali Tulia ofisini kitengo kina haribika, nikueleze.
Madaktari wa OPD Sina neno nao isipokuwa mmoja mtu wa Kagers ana lugha chafu sana.
Tuanze kwenye kupima BP wahudumu hutoka kila baada ya kupima watu kumi.
Pharmacy kumeoza mtu wa computer huwa anachezea game badala ya kuandika Ankara ,Watoa dawa hutumika sàa moja tangu uwafikie.
Mrudisha kadi yule mwenye miwani ana maudhi sana hujiona kama jogoo mbele ya tembe anatoa kadi Moja Kisha simu na kuongea na wageni wake muda mwingi
Maanara ya ISO sawa na kibanda cha chips.
Tulia ofisini Wacha drama za akina Makonda na wanasiasa kuwa professional
Wakatabahu
Mteja wenu wa miaka mitano nikilea moto wangu bila kuambiwa una shida gani.
Mkuu unaongelea nini?

Please calm down!
 
Pol
Dr Kisenge tafadhali Tulia ofisini kitengo kina haribika, nikueleze.

Madaktari wa OPD Sina neno nao isipokuwa mmoja mtu wa Kagers ana lugha chafu sana.

Tuanze kwenye kupima BP wahudumu hutoka kila baada ya kupima watu kumi.

Pharmacy kumeoza mtu wa computer huwa anachezea game badala ya kuandika Ankara ,Watoa dawa hutumika sàa moja tangu uwafikie.

Mrudisha kadi yule mwenye miwani ana maudhi sana hujiona kama jogoo mbele ya tembe anatoa kadi Moja Kisha simu na kuongea na wageni wake muda mwingi

Maanara ya ISO sawa na kibanda cha chips.

Tulia ofisini Wacha drama za akina Makonda na wanasiasa kuwa professional
Wakatabahu

Mteja wenu wa miaka mitano nikilea moto wangu bila kuambiwa una shida gani.
Pole sana mkuu unaongea as if wote humu tunahidhuria hiyo clinic, weka wazi lengo lako la kuleta Uzi litimie
 
Dr Kisenge tafadhali Tulia ofisini kitengo kina haribika, nikueleze.

Madaktari wa OPD Sina neno nao isipokuwa mmoja mtu wa Kagers ana lugha chafu sana.

Tuanze kwenye kupima BP wahudumu hutoka kila baada ya kupima watu kumi.

Pharmacy kumeoza mtu wa computer huwa anachezea game badala ya kuandika Ankara ,Watoa dawa hutumika sàa moja tangu uwafikie.

Mrudisha kadi yule mwenye miwani ana maudhi sana hujiona kama jogoo mbele ya tembe anatoa kadi Moja Kisha simu na kuongea na wageni wake muda mwingi

Maabara ya ISO sawa na kibanda cha chips.

Tulia ofisini Wacha drama za akina Makonda na wanasiasa kuwa professional
Wakatabahu

Mteja wenu wa miaka mitano nikilea moto wangu bila kuambiwa una shida gani.

Credits: BabuFey
 
Dr Kisenge tafadhali Tulia ofisini kitengo kina haribika, nikueleze.

Madaktari wa OPD Sina neno nao isipokuwa mmoja mtu wa Kagers ana lugha chafu sana.

Tuanze kwenye kupima BP wahudumu hutoka kila baada ya kupima watu kumi.

Pharmacy kumeoza mtu wa computer huwa anachezea game badala ya kuandika Ankara ,Watoa dawa hutumika sàa moja tangu uwafikie.

Mrudisha kadi yule mwenye miwani ana maudhi sana hujiona kama jogoo mbele ya tembe anatoa kadi Moja Kisha simu na kuongea na wageni wake muda mwingi

Maabara ya ISO sawa na kibanda cha chips.

Tulia ofisini Wacha drama za akina Makonda na wanasiasa kuwa professional
Wakatabahu

Mteja wenu wa miaka mitano nikilea moto wangu bila kuambiwa una shida gani.

Credits: BabuFey
Wapi Huko daslamu?!!
 
Umeshtuka Leo siku hizi office za umma nyingi zipo hvyo Wala husishangae
Hii ndiyo Tanzania familia ya kambale wote Wana ndevu vigumu kumtofautisha baba na mwana
 
Dkt. Kisenge tafadhali Tulia ofisini Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), nikueleze.

Madaktari wa OPD Sina neno nao isipokuwa mmoja mtu wa Kagera ana lugha chafu sana.

Tuanze kwenye kupima BP wahudumu hutoka kila baada ya kupima watu kumi.

Pharmacy kumeoza mtu wa computer huwa anachezea game badala ya kuandika Ankara ,Watoa dawa hutumika sàa moja tangu uwafikie.

Mrudisha kadi yule mwenye miwani ana maudhi sana hujiona kama jogoo mbele ya tembe anatoa kadi Moja Kisha simu na kuongea na wageni wake muda mwingi

Maabara ya ISO sawa na kibanda cha chips.

Tulia ofisini Wacha drama za akina Makonda na wanasiasa kuwa professional

Wakatabahu

Mteja wenu wa miaka mitano nikilea moto wangu bila kuambiwa una shida gani.
Kuna kipindi marehemu magu alimkataa balozi kutoka zambia,kwa sababu tu ya jina lake.
NRNE
 
Umeshtuka Leo siku hizi office za umma nyingi zipo hvyo Wala husishangae
Hii ndiyo Tanzania familia ya kambale wote Wana ndevu vigumu kumtofautisha baba na mwana
Samia effect 💩💩💩
 
Hakuna cctv humo ifisini? HR funga hizo camera uangalie wazembe kazini.
 
Dkt. Kisenge tafadhali Tulia ofisini Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), nikueleze.

Madaktari wa OPD Sina neno nao isipokuwa mmoja mtu wa Kagera ana lugha chafu sana.

Tuanze kwenye kupima BP wahudumu hutoka kila baada ya kupima watu kumi.

Pharmacy kumeoza mtu wa computer huwa anachezea game badala ya kuandika Ankara ,Watoa dawa hutumika sàa moja tangu uwafikie.

Mrudisha kadi yule mwenye miwani ana maudhi sana hujiona kama jogoo mbele ya tembe anatoa kadi Moja Kisha simu na kuongea na wageni wake muda mwingi

Maabara ya ISO sawa na kibanda cha chips.

Tulia ofisini Wacha drama za akina Makonda na wanasiasa kuwa professional

Wakatabahu

Mteja wenu wa miaka mitano nikilea moto wangu bila kuambiwa una shida gani.
Muhimbili ni hospitali ya serikali, ifike wakati sasa serikali iwafute kazi watumishi wazembe, hawa watumishi kwa makusudi tu wanaharibu huduma za hii hospitali, hawafanyi kazi kama inavyotakiwa, muda mwingi wako wanaangalia tamthilia huku wagonjwa wakiwa wamekaa hoi wakiwasubiri kumaliza kuangalia tamthilia zao. Hivi huu ni uungwana kweli?
 
Mkuu unaongelea nini?

Please calm down!
Ukienda kutibiwa awamu ya kwanza sàa kumi na Moja asubuhi utatoka sàa tano mchana huku wahudumu wanafanya mizaha na ujuaji wa kijinga (isipokuwa na doctor) na kupoteza muda kwenye simu na soga ,.
Kifupi tangu kuondoka Prof Janabi hakuna usimamizi kabisa
 
Back
Top Bottom