Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,466
- 283,837
Tatizo ni jina chukua chako mapema (CCM)😂Tulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu .
Huko Rombo Dr Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara , ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa , yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia ! Noma sana !
Onyo : Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB .
Alifuata uwaziri wa fedha, Mwigulu akamzidi kete...Dr. Kimei sio mwanasiasa mzuri, sijui ni nini kilimuingiza kwenye siasa. Hata kuongea kwake tu ni shida.
Alifuata uwaziri wa fedha, Mwigulu akamzidi kete...
Picha pleaseTulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu .
Huko Rombo Dr Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara , ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa , yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia ! Noma sana !
Onyo : Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB .
Hiyo ni miongoni mwa tafsiri za chukua chako mapema (CCM)Alifuata uwaziri wa fedha, Mwigulu akamzidi kete...
inakujaPicha please
Picha please
Tulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu .
Huko Rombo Dr Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara , ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa , yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia ! Noma sana !
Onyo : Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB .
Huko Rombo alienda kufanya nini?Tulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu .
Huko Rombo Dr Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara , ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa , yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia ! Noma sana !
Onyo : Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB .
[emoji38][emoji38][emoji38]Huko Rombo alienda kufanya nini?
Kwani ni Jimbo lake?
Tulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu .
Huko Rombo Dr Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara , ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa , yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia ! Noma sana !
Onyo : Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB .
wako asilimia 98 , kabudi na Babu Tale ndanikuna wabunge wanasubiria kiinua mgongo chao then waendelee na life lao.
Wabunge wote wa nguvu za JPM mjiandae kuachia viti vya watu!
Uroho wa kishamba yaani unastaafu ukapewa gari ya million 800 ya kutembelea na hapo umetoka kwny salary ya zaidi ya 18m kwa mwezi then unarudi kupigania salary ya 12m plus uchawi na husuda kibao...Dr. Kimei sio mwanasiasa mzuri, sijui ni nini kilimuingiza kwenye siasa. Hata kuongea kwake tu ni shida.