Tetesi: Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini

Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.

Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.

Mungu ibariki Tanzania.
hakuna kitu kama hiko, acheni kujidanganya sukuma gang
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.

Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.

Mungu ibariki Tanzania.
Kwa nini Ndaki afutwe kazi?Mbona yupo vizuri hana shida

Mbona ni kama unafurahia Ndaki kutolewa uwaziri?
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.

Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.

Mungu ibariki Tanzania.
So what??
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.

Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.

Mungu ibariki Tanzania.
Kama hii taarifa ni kweli, basi Samia hapaswi na hafai KABISA kuwa kiongozi mkuu wa hii nchi.

Kuna siri za serikali zinazoimarisha usalama wa nchi na wananchi.
 
Kama hii taarifa ni kweli, basi Samia hapaswi na hafai KABISA kuwa kiongozi mkuu wa hii nchi.

Kuna siri za serikali zinazoimarisha usalama wa nchi na wananchi.
Ni hatari,ngoja tusubiri tuone

muda utatoa majibu ya haya yalioandikwa leo
 
Kama hii taarifa ni kweli, basi Samia hapaswi na hafai KABISA kuwa kiongozi mkuu wa hii nchi.

Kuna siri za serikali zinazoimarisha usalama wa nchi na wananchi.
Aisee hata Mimi nitamdharau Kama atamrudisha kwenye wizara huyo mtu,

Itaonekana dhahiri Ni muoga ,anawaogopa Hawa kikundi Cha marehemu kinachomtukana mitandaoni,
Na hata akifanya hivyo Hawa matahira hawatoacha kumtukana
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.

Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.

Mungu ibariki Tanzania.
Mh. Rais amwangalie yule waziri wa Tozo hana ubunifu ameshatuchosha!!
 
Back
Top Bottom