Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,667
- 20,361
Hii yote haina tija kama MWIGULU LAMECK NCHEMBA bado atakuwepo.
Anapaweza!! Kuzusha report za uwongo!?Kalemani arudi Nishati anapaweza sn
hakuna kitu kama hiko, acheni kujidanganya sukuma gangDuru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Kwa nini Ndaki afutwe kazi?Mbona yupo vizuri hana shidaDuru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Asipopelekwa wewe utapungukiwa na nini?akirudi kwenye hiyo wizara niite mbwa
Hilo msahau kabisa, labda apelekwe wizara ya habari na mitindo
So what??Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Kama hii taarifa ni kweli, basi Samia hapaswi na hafai KABISA kuwa kiongozi mkuu wa hii nchi.Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Angeuawa tuu kama alivyosema mwenyewe kama hatumpendi tumuue.Huyo angepumzishwa tu
Ni hatari,ngoja tusubiri tuoneKama hii taarifa ni kweli, basi Samia hapaswi na hafai KABISA kuwa kiongozi mkuu wa hii nchi.
Kuna siri za serikali zinazoimarisha usalama wa nchi na wananchi.
Huyu lazima alihusika kwenye mauaji, hawezi kuagiza yutong 60 baada ya kuiba hela za "matibabu".Mwigulu ni tumaini la Watanzania mkuu hivyo ni lazima awemo
Aisee hata Mimi nitamdharau Kama atamrudisha kwenye wizara huyo mtu,Kama hii taarifa ni kweli, basi Samia hapaswi na hafai KABISA kuwa kiongozi mkuu wa hii nchi.
Kuna siri za serikali zinazoimarisha usalama wa nchi na wananchi.
Nenda kamuueAngeuawa tuu kama alivyosema mwenyewe kama hatumpendi tumuue.
🤣🤣🤣Nenda kamuue
Ngoja tusubiri huo mkeka wa Samia tuone kama yaliyosemwa humu yana ukweliHii yote haina tija kama MWIGULU LAMECK NCHEMBA bado atakuwepo.
Mvua ya mate tumeichokaNaomba atuondolee anaye temea mate bendera yetu. Amuondoe.
Mh. Rais amwangalie yule waziri wa Tozo hana ubunifu ameshatuchosha!!Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.