Dkt. John Magufuli, Mzee Philip Mangula na Dkt. Bashiru: Utatu wa maadili na uzalendo wenye kuogopesha upinzani

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,601
Majina tajwa si mageni, ni majina ya viongozi wakuu wa CCM. Nikiri kusema kila nikiwaona viongozi hao, Tanzania inaona tumaini la uongozi bora si tu ndani ya CCM bali hata serikalini. Ni moja ya viongozi ambao maadili na uzalendo wao ni wa kiwango kisichoelezeka. Viongozi hao wamepanda mbegu nzuri sana inayoitwa CCM mpya, mbegu hiyo ikimea itatoa matunda bora si tu kwa CCM bali kwa serikali nan chi kwa ujumla.

Utatu huo ni tumaini la Tanzania katika kuandaa viongozi wenye maadili na uzalendo. CCM ya viongozi hao ni mwanga wa Tanzania gizani. Kupitia viongozi hao CCM na Tanzania zinajifunza mengi sana. Watu kutoka mashariki, kusini, magharibi na kaskazini wanafurahi uwepo wa viongozi hao na kusema tumaini la kesho la Tanzania lipo CCM, tuna Imani na utatu huo.

Lakini licha ya kwamba utatu huo ni tumaini la kesho la Tanzania lakini ni mwiba mchungu kwa upinzani. Siasa za viongozi hao zinaiogopesha upinzani. Ni viongozi walioiva kinadharia hadi kivitendo kuhusu siasa na uongozi bora. Na hilo ndilo linafanya upinzani utishike, kutetemeka na kuogopa kila viongozi hao wanatia neon juu ya siasa na uongozi.
 
Kwenye kubeti, tunasema wakala wa muhindi!!
Tunatofautiana sana haya maisha! What counts the difference is the perception of the existing system of leadership we have right now!!
Kweli mkuu unaandika hivi kwa "Akili" timamu bila kushurutshwa? Messed up!!😢😢😢😢
 
Kila siku stori zako ni za kuisifia ccm na viongozi wake tu as if hiyo ccm yenu ni muhimu sana kwa watanzania kumbe ni chama cha mafisi tu na mafisadi wa nchi!

Badala ya kuja na mada za kujenga demokrasia yenye usawa na umoja, mbinu za kuyafikia maisha bora kwa watanzania wote, mbinu za kuifanya Tanzania kuwa Taifa kubwa la kiuchumi; wewe ni kumsifia tu Magufuli na ccm! Sijui unalipwa shilingi ngapi kwa kazi hii!
 
Majina tajwa si mageni, ni majina ya viongozi wakuu wa CCM. Nikiri kusema kila nikiwaona viongozi hao, Tanzania inaona tumaini la uongozi bora si tu ndani ya CCM bali hata serikalini. Ni moja ya viongozi ambao maadili na uzalendo wao ni wa kiwango kisichoelezeka. Viongozi hao wamepanda mbegu nzuri sana inayoitwa CCM mpya, mbegu hiyo ikimea itatoa matunda bora si tu kwa CCM bali kwa serikali nan chi kwa ujumla.

Utatu huo ni tumaini la Tanzania katika kuandaa viongozi wenye maadili na uzalendo. CCM ya viongozi hao ni mwanga wa Tanzania gizani. Kupitia viongozi hao CCM na Tanzania zinajifunza mengi sana. Watu kutoka mashariki, kusini, magharibi na kaskazini wanafurahi uwepo wa viongozi hao na kusema tumaini la kesho la Tanzania lipo CCM, tuna Imani na utatu huo.

Lakini licha ya kwamba utatu huo ni tumaini la kesho la Tanzania lakini ni mwiba mchungu kwa upinzani. Siasa za viongozi hao zinaiogopesha upinzani. Ni viongozi walioiva kinadharia hadi kivitendo kuhusu siasa na uongozi bora. Na hilo ndilo linafanya upinzani utishike, kutetemeka na kuogopa kila viongozi hao wanatia neon juu ya siasa na uongozi.
Hawna uzalendo wowote, makuwadi wa ufisadi. Tena ni wabaya hakuna mfanowe, kwa ufisadi wakiongozwa na baba lao jiwe, ambaye anapofanya ufisadi nahakikisha hakuna wa kusema fyoko. Kwani tangu umezaliwa na kupata akili timamu umeshamsikia mtu akifanya ufisadi wa 1.5T+? Jiwe hilo kalifanya, na kavunja rekodi ya wote waliomtangulia combined.
 
Lakini sisi tunaowajua sasa!! Endelea hivyo hivyo make hujui lolote
 
Back
Top Bottom