magufuli anakwenda kuanzia wapi?? Mbona kila mahali atakapoanza napo kuna mkono wa mtangulizi wake???
Huo ufisadi unaozungumziwa kwenye majukwaa leo, nafikiri ndio mwisho hamtausikia tena,
na wala haiwezi kuwa sehemu ya agenda za makufuli mwaka 2020.
Jiandaeni kulipelea tena taifa kwenye utumwa!!