Kuna jamaa anaitwa Dkt. Ibrahim Chenza amekua akipost akidrive marange na mavogue ya gharama yenye Plate namba za majina yake.
Nimekutana na bandiko mahali kuhusu huyu mtu sijatilia manani sana ni mtu wa kupost magari ya kifahari sana sipendi kufatilia life ya mtu ila huyu mtu anajiita Dr nimeona nimjue ni nani haswa huyu
Hupendi kufuatilia maisha ya watu then you proceed kuulizia maisha ya mtu. Kama hicho sio kiwango cha juu cha unafiki na contradiction I don't know what is.
Ni wale matapeli wa biashara ya upatu ni kiongozi nadhani wa kampuni moja hivi inaitwa BF SUMA ni watu ambao hutumia udhaifu kwa watu wenye kupenda utajiri wa haraka na kisha kuwatapeli
Ni wale matapeli wa biashara ya upatu ni kiongozi nadhani wa kampuni moja hivi inaitwa BF SUMA ni watu ambao hutumia udhaifu kwa watu wenye kupenda utajiri wa haraka na kisha kuwatapeli
Kuna jamaa anaitwa Dkt. Ibrahim Chenza amekua akipost akidrive marange na mavogue ya gharama yenye Plate namba za majina yake.
Nimekutana na bandiko mahali kuhusu huyu mtu sijatilia manani sana ni mtu wa kupost magari ya kifahari sana sipendi kufatilia life ya mtu ila huyu mtu anajiita Dr nimeona nimjue ni nani haswa huyu
Kuna jamaa anaitwa Dkt. Ibrahim Chenza amekua akipost akidrive marange na mavogue ya gharama yenye Plate namba za majina yake.
Nimekutana na bandiko mahali kuhusu huyu mtu sijatilia manani sana ni mtu wa kupost magari ya kifahari sana sipendi kufatilia life ya mtu ila huyu mtu anajiita Dr nimeona nimjue ni nani haswa huyu