Dkt. Ibrahim Chenza ni nani haswa?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,127
Reaction score
24,429
Kuna jamaa anaitwa Dkt. Ibrahim Chenza amekua akipost akidrive marange na mavogue ya gharama yenye Plate namba za majina yake.

Nimekutana na bandiko mahali kuhusu huyu mtu sijatilia manani sana ni mtu wa kupost magari ya kifahari sana sipendi kufatilia life ya mtu ila huyu mtu anajiita Dr nimeona nimjue ni nani haswa huyu
 
HAwana shida hao, kuna siku watapost hela la mbao,hapo ndio utajua hujachelewa
 
huyu jamaa ni mtu anaye post akiwa na magari ya kifahari unataka jua tena nini
 
Ni wale matapeli wa biashara ya upatu ni kiongozi nadhani wa kampuni moja hivi inaitwa BF SUMA ni watu ambao hutumia udhaifu kwa watu wenye kupenda utajiri wa haraka na kisha kuwatapeli
 
Ni wale matapeli wa biashara ya upatu ni kiongozi nadhani wa kampuni moja hivi inaitwa BF SUMA ni watu ambao hutumia udhaifu kwa watu wenye kupenda utajiri wa haraka na kisha kuwatapeli
Eeeh
 
Wapi hukoo?!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…