View attachment 1753667
Waliochuana kuwania urais ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hosea, wakili maarufu, Albert Msando, Flaviana Charles, Shehzad Wall na Rais wa zamani wa chama hicho, Francis Stolla.
Matokeo ya Uchaguzi wa Urais wa TLS
Edward Hosea 293
Flaviana Charles 223
Shezhad walli 192
Albert Msando 69
Francis Stolla 17
======
UCHAGUZI TLS, NI DKT HOSEA
Dkt Edward Hosea amekuwa Rais mpya wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) akishinda kwa jumla ya kura 293 akifuatiwa na malkia wa nguvu Flaviana Charles aliyepata Kura 223 Kati ya kura 802 zilizo pigwa na wanachama hao.
View attachment 1753814