Stage iliyofikia sio maneno tena ni action, watu wamelea ujinga sana na kadili unavyo uacha ujinga na wenyewe una develop,tuanze na trump kwanza, there's no way people have to face the reality,yaani watu wafanye madudu halafu wakitolewa wanakimbilia dini,mda wa maneno umekwisha tz tayari tunaye magu ni kazi tu,na us anakuja trump mtanyooka tuHivi ni kwa nini maislamu wanapenda kuona kuwa wanaonewa wakati wote?? Mbona sijawahi kusikia mkristo hata siku moja akilalamika kwnye mambo ya kipuuzi kama haya?
Hii dini ni janga jaman
Hakuna kitu kibaya katika kazi badala ya kuangalia sifa na uzoefu, jitu linakaa kubalansisha dini, kabila na hata jinsiaKuna watu watakuwa wanaumia sana kama yule mbeba box kule London Haruna Mbeyu ilikuwa kama sebuleni kwake hapo nssf kwenda kupiga soga tu.Keshapeleka vijana wengi sana wa imani yake hapo nssf kwa ajili ya ajira kisingizio wanabalance
Hakuna kitu kibaya katika kazi badala ya kuangalia sifa na uzoefu, jitu linakaa kubalansisha dini, kabila na hata jinsia
Kuna kaukweli kanaonekana hapo, lakini ngoja nijipitie ntarudi ....View attachment 324013 View attachment 324014
Leo magazeti mawili ya "IMAAN" na "AL-HUDA" yamekuja na vichwa vya habari vinavyomuhusu aliyekuwa DG wa NSSF Dkt.Ramadhan Dau kuwa anaonewa na kufitinshwa kwa kuondolewa kwenye sherika hilo la hifadhi ya Jamii wakati alikuwa amebakia miaka michache tu astaafu.
Gazeti hilo linasema licha ya uteuzi wa Dr Dau kuelezwa kuwa una tija kwa Taifa na kuimarisha uhusiano wa Tz na nchi za nje,lkn umedunisha uwakilishi wa Waislamu katika utendaji wa serikali hapa nchini.
"Tumezidi kuisha serikalini,wengine wanapelekwa nje ya nchi.Sisi ni wengi katika wale wanaoitwa majipu,lkn katika wanaoteuliwa kama si wachache basi hatumo kabisa,ukichunguza ni kama huu utumbuaji majipu unatulenga sisi" ..limeandika Gazeti la Al-Huds likimnukuu Bwana Haji mfanyakazi wa serikali.
"Dr Dau angemalizia tu kipindi chake,ameitoa mbali toka NPF iliyokuwa taabani mpaka NSSF yenye miradi lukuki,ilikuwa apewe shirika au taasisi nyingine ya kuongoza hapa nchini ili awajibike kama alivyowajibika NSSF".Gazeti hilo limedai kama kumtumia kidiplomasia basi angetumiwa baada ya kustaafu lkn sio kumuondoa sasa,nafasi ambayo itakuwa ngumu kwa mtu mwingine kuziba pengo la Dr Dau,gazeti linaendelea kusema kuwa teuzi hiyo ni chuki dhidi ya imani fulani na kuwepo na hali ya kuimarisha mfumo ili imani fulani iendelee kuwa katika sehemu ya maamuzi.
"Aliikuta NPF iliyotegemewa makato yasiyodaiwa ya "cane carters" ambao walikuwa wafanyakazi wa muda wa viwanda vya sukari vikiwemo vikampuni na taasisi za watu binafsi,chini ya Dr Dau shirika lilifanikiwa kuwa na miradi mikubwa kama daraja la kisasa la Kigamboni,mradi wa makazi katika eneo la Dege Beach huko Kigamboni,mradi wa nyumba za Kiluvya,mradi wa nyumba za makazi za Mtoni Kijichi,Mradi wa kituo cha Michezo kwa Ushirikiano na Club ya Real Madrid na pia NSSF ilishiriki ktk ujenzi wa Chuo Kikuu Dodoma.Kutokana na ufanisi huu Rais Mkapa aliwahi mtunuku cheti cha usimamizi na utendaji bora ktk kipindi cha uongozi wake wa shirika hilo
Lakini usiombe ukapelekwa Tora Bora ..!!Dr.Dau anamiaka 17 NSSF hivi jaman hatuwazi hayo????
leo kuteuliwa kuwa baloz ndo ilete shida wakuuu??
ni mabadiliko ya kazi jamaniii,mbona wakristo waliongoka hatukulaumu zaidi ni kwa manufaa ya nchi2...
alafu islams sio kla jambo ni kulalama.....
mara necta,mara dau mara nini sijui...
mbna all days ni nyinyi2????
badalikeni ni utendaji wa kazi...
bora angefukuzwa kaz perceeee ila kaenda kuwa balozi......
kwa wanaoelewa diplomasia baloz ni cheo kikubwa sawa na Rais....akiwa nchi husika anatembea na gari ya bendera ya nchi ktk gari yake..
baloz ni sawa na rais wa TZ huko aendako.....fikirini kabla ya kuanza kublame
NSSF Ni ya WTZ sio ya waislamu jueni hilo wakuuu....
Wanafiki utawajua tu wakati Mkapa anamtoa Mustapha Mkulo NSSF na kumpa Dr. Dau mbona hawa maamuma hawakuja na vijarida vyao kudai Mkulo anaonewa? Acheni unafiki. Kwani Dau ndiyo pekee mwenye akili ya kiendesha NSSF hapa tz?
Wewe ama kweli mjinga tena mbumbumbu. Mkulo alilifilisi hilo shirika, Dau ndiye aliyeliokoa
NALO GAZETI???Hili gazeti lingefungiwa
Teh tehLakini usiombe ukapelekwa Tora Bora ..!!
View attachment 324013 View attachment 324014
Leo magazeti mawili ya "IMAAN" na "AL-HUDA" yamekuja na vichwa vya habari vinavyomuhusu aliyekuwa DG wa NSSF Dkt.Ramadhan Dau kuwa anaonewa na kufitinshwa kwa kuondolewa kwenye sherika hilo la hifadhi ya Jamii wakati alikuwa amebakia miaka michache tu astaafu.
Gazeti hilo linasema licha ya uteuzi wa Dr Dau kuelezwa kuwa una tija kwa Taifa na kuimarisha uhusiano wa Tz na nchi za nje,lkn umedunisha uwakilishi wa Waislamu katika utendaji wa serikali hapa nchini.
"Tumezidi kuisha serikalini,wengine wanapelekwa nje ya nchi.Sisi ni wengi katika wale wanaoitwa majipu,lkn katika wanaoteuliwa kama si wachache basi hatumo kabisa,ukichunguza ni kama huu utumbuaji majipu unatulenga sisi" ..limeandika Gazeti la Al-Huds likimnukuu Bwana Haji mfanyakazi wa serikali.
"Dr Dau angemalizia tu kipindi chake,ameitoa mbali toka NPF iliyokuwa taabani mpaka NSSF yenye miradi lukuki,ilikuwa apewe shirika au taasisi nyingine ya kuongoza hapa nchini ili awajibike kama alivyowajibika NSSF".Gazeti hilo limedai kama kumtumia kidiplomasia basi angetumiwa baada ya kustaafu lkn sio kumuondoa sasa,nafasi ambayo itakuwa ngumu kwa mtu mwingine kuziba pengo la Dr Dau,gazeti linaendelea kusema kuwa teuzi hiyo ni chuki dhidi ya imani fulani na kuwepo na hali ya kuimarisha mfumo ili imani fulani iendelee kuwa katika sehemu ya maamuzi.
"Aliikuta NPF iliyotegemewa makato yasiyodaiwa ya "cane carters" ambao walikuwa wafanyakazi wa muda wa viwanda vya sukari vikiwemo vikampuni na taasisi za watu binafsi,chini ya Dr Dau shirika lilifanikiwa kuwa na miradi mikubwa kama daraja la kisasa la Kigamboni,mradi wa makazi katika eneo la Dege Beach huko Kigamboni,mradi wa nyumba za Kiluvya,mradi wa nyumba za makazi za Mtoni Kijichi,Mradi wa kituo cha Michezo kwa Ushirikiano na Club ya Real Madrid na pia NSSF ilishiriki ktk ujenzi wa Chuo Kikuu Dodoma.Kutokana na ufanisi huu Rais Mkapa aliwahi mtunuku cheti cha usimamizi na utendaji bora ktk kipindi cha uongozi wake wa shirika hilo