Asha Ommary
Member
- Sep 1, 2020
- 97
- 90
Nikiona hiki nakumbuka ile picha ya vijana wakikata mbuyu kwa shoka kwa lugha rahisi ni biashara ya kipuuzi na kijinga.
Ni kweli Goliath alidondoshwa na manati ila sio kumdondosha Bashiru kwa akaunti Feki za mitandaoni
Nisiwachoshe kueleza uimara wa Bashiru kwakua umedhihirika kwa vitendo viliotanguliwa na maneno yake, ngoja akafanye kazi aliotumwa bungeni.
MTI WENYE MATUNDA NDIO HUPIGWA MAWE.