Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Dkt. Bashiru ulisema Katiba ya sasa haifai kutuongoza kwani imeundwa katika mfumo wa chama kimoja.
Tangu 1995 tumeingia katika Uchaguzi wa Vyama vingi na time ya Warioba kuna na rasmi lakini Katiba haijabadilika.
Ukiwa Katibu Mkuu wa CCM msimamo wako juu ya Katiba mpya ni upi?