We mzee kila kitu makafaraLazima afanye hivi kuna kafara lake naweza kumsaidia...kafara la kutengua kauli au kiapo
Hata mzee wa prof Kabundi.. kapoteza mambo ya nje ni tamu sanaKwa hiyo Looser katika sarakasi zote hizi ni Dakta?
Amenigusa na mimi nimejikuta natafakari baadhi kauli nilizowahi kuzinena juu yangu.Ndugu Mshana Jr una upeo mkubwa sana wa mambo ya kiroho kwa pande zote mbili.