Hatuoni Bendera wala jina la CCM, ila tunaona maandishi ya kutengeneza na Computer kwenye hiyo nyumba..!!!
Chadema kwanini mnapenda kupotosha?View attachment 1611994
Acheni upotoshaji Chadema kama hamna taarifa zakueleweka ni vyema mkakaa kimya.
Mwisho wa siku watu watakua wanawapuuza tu kwa huo upotoshaji.
Ila ni kweli ofisi zenu zina matatizo sana, sijui hata vikao vyenu vya chama mnafanyia wapi.