Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,289
Hatuoni Bendera wala jina la CCM, ila tunaona maandishi ya kutengeneza na Computer kwenye hiyo nyumba..!!!
Nyie wenye CCM wekeni muone aibu. Ofisi iko Soko Matola, Mtaa wa Wageni, nyumba namba 2
Ingia Google maps tafuta ofisi ya CCM Mkoa utaiona aseeeeeHatuoni Bendera wala jina la CCM, ila tunaona maandishi ya kutengeneza na Computer kwenye hiyo nyumba..!!!
Chadema kwanini mnapenda kupotosha?View attachment 1611994
Acheni upotoshaji Chadema kama hamna taarifa zakueleweka ni vyema mkakaa kimya.Ingia Google maps tafuta ofisi ya CCM Mkoa utaiona aseeeee