Dkt. Bashiru Ally akemea adhabu za viboko zinazofanywa na Maofisa wa Umma

Akiwa mkoani Kagera, Ndugu Bashiru Ally ambaye ni Katibu wa CCM amesema anashangaa vitendo vinavyotaka kujikita mzizi kwa maafisa wa Serikali kujichukulia sheria mkononi.

Bashiru Ally amewashangaa maafisa hao wanaoshindwa kutofautisha kazi za mihimili yaani mahakama, Serikali na Bunge.

Bashiru Ally amesisitiza kuwa mwenye mamlaka ya kutoa adhabu ni Mahakama tu na si vinginevyo, Amesisitiza Mahakama ndio yenye uwezo wa kupima kosa na kutoa adhabu.

Ndugu Bashiru amewaonya watendaji hao wa serikali kuacha kuvunja sheria za nchi kwa kuwacharaza watu viboko.

Rais alishasema ukifanya kazi utaonekana lakini si kwa kujipiga piga picha na kuvunja sheria ili uonekane, Kigwangalla aliyafanya hayo lakini sasa ameachwa pembeni tupo nae mtaani bila ulinzi tukitegemea sungusungu na ulinzi shirikishi.
They should have already been fired. Public Lamentations from a person of such high office in the current governing system , really shows how much we have compromised with impunity.
There is no way you can break the laws that put in the office and still remain the officer of the laws.
 
Wewe ulitaka bashiru afanyeje ?
Anyamaze tu ili aendelee kutafuna pesa za ccm bila bughudha , asitudanganye kuzungumzia asiyo na mamlaka nayo na ambayo Bosi wake anayafurahia .

Watanzania siyo Wajinga sana - Magufuli
 
Anyamaze tu ili aendelee kutafuna pesa za ccm bila bughudha , asitudanganye kuzungumzia asiyo na mamlaka nayo na ambayo Bosi wake anayafurahia .

Watanzania siyo Wajinga sana - Magufuli
Mamlaka ya kuzungumza na kukemea pia hana ?
 
Kwa kweli hakuna mtanzania anapenda kuna matendo ya kihuni yakifanyika katika Jamii kama Yale ya kufungia walemavu,kuiba madawati nk.
Lakini kiukweli tunatamani adhabu ziwe Kali lakini zile za kisheria.Lakini hizi za viboko kwa kweli mmmh....sijajua zinabaraka za nani.
Siku moja nahofu tutakuja wadhalilisha viongozi wetu.Tutoe adhabu Kali ambazo zipo kisheria au mahakama zetu zimebariki.
Wasi wasi wangu itafika siku kila kosa viongozi wetu wataona adhabu ni viboko.
 
Nimefrahi Sana, Mungu ambariki Dr. Bashiru,inastikisha sana hawa viongozi Wa sasa,yaani wanaona kudharilisha watu eti ndo utendaji Nazi,hivi kwanini wahanga Wa haya matukio hawaendi mahakamani kushitaki?

Mheshimiwa rais anapaswa kuwa makini sana katika kuteua viingozi Wa government, maana wengi wao wamejawa mihemko bila kutumia hekima
Tatizo nyie mnaona upande mmoja tu wa kudhalilishwa lakini hamuangalii matatizo waliyosababisha hao jamaa...Ni maajabu kweli....Mfano wale watoto walikuwa wanachoma moto shule...hamuoni jamii na wanafunzi wameathirikaje kwa sababu yao...mnaanza kuona huruma tena...shwainnnny kweli
 
Kwa kweli hakuna mtanzania anapenda kuna matendo ya kihuni yakifanyika katika Jamii kama Yale ya kufungia walemavu,kuiba madawati nk.
Lakini kiukweli tunatamani adhabu ziwe Kali lakini zile za kisheria.Lakini hizi za viboko kwa kweli mmmh....sijajua zinabaraka za nani.
Siku moja nahofu tutakuja wadhalilisha viongozi wetu.Tutoe adhabu Kali ambazo zipo kisheria au mahakama zetu zimebariki.
Wasi wasi wangu itafika siku kila kosa viongozi wetu wataona adhabu ni viboko.
Mbona mwalim Nyerere alikuwa analambisha watu viboko waende wakawasimulie wake zao
 
Akiwa mkoani Kagera, Ndugu Bashiru Ally ambaye ni Katibu wa CCM amesema anashangaa vitendo vinavyotaka kujikita mzizi kwa maafisa wa Serikali kujichukulia sheria mkononi.

Bashiru Ally amewashangaa maafisa hao wanaoshindwa kutofautisha kazi za mihimili yaani mahakama, Serikali na Bunge.

Bashiru Ally amesisitiza kuwa mwenye mamlaka ya kutoa adhabu ni Mahakama tu na si vinginevyo, Amesisitiza Mahakama ndio yenye uwezo wa kupima kosa na kutoa adhabu.

Ndugu Bashiru amewaonya watendaji hao wa serikali kuacha kuvunja sheria za nchi kwa kuwacharaza watu viboko.

Rais alishasema ukifanya kazi utaonekana lakini si kwa kujipiga piga picha na kuvunja sheria ili uonekane, Kigwangalla aliyafanya hayo lakini sasa ameachwa pembeni tupo nae mtaani bila ulinzi tukitegemea sungusungu na ulinzi shirikishi.
Hivi Katibu Uenezi wa Chama cha magufuli ni nani kwa sasa ?
 
Ningekuwa kiongozi wa umma hio siku ambayo mtu angenitamkia lala nikuchape viboko ndio siku ambayo ningeagana na ofisi ya umma.

Unanipiga viboko kama nani aisee?
 
unakemea jambo ambalo huna uwezo nalo na huku wewe mwenyewe ukitumia dola kukandamiza wengine !
Mamlaka ya kukemea ni uthibitisho kuwa ana uwezo nalo wa kulikemea.

Na hiyo utaona kama wataendelea na hilo.

Kutumia dola kukandamiiza wengine sio kigezo kwamba usikemee mengine,hakatazwi kukemea wengine bali atakatazwa kukandamiza wengine huku akiendelea kukemea
 
Pamoja na "MATAGA" wa marekani kuandamana wakitaka bwana "TRUMP" asalie madarakani pamoja na kushindwa, ila hujasikia IGP wakule akisema watapigwa kipigo cha mbwa koko, makamo wa raisi Mike Pence yani mama Samia Suluhu Wakule kasema "MATAGA" hao wanaiaibisha MAREKANI.
Ccm na vibaraka wenu mna la kujifunza.
 
Akiwa mkoani Kagera, Ndugu Bashiru Ally ambaye ni Katibu wa CCM amesema anashangaa vitendo vinavyotaka kujikita mzizi kwa maafisa wa Serikali kujichukulia sheria mkononi.

Bashiru Ally amewashangaa maafisa hao wanaoshindwa kutofautisha kazi za mihimili yaani mahakama, Serikali na Bunge.

Bashiru Ally amesisitiza kuwa mwenye mamlaka ya kutoa adhabu ni Mahakama tu na si vinginevyo, Amesisitiza Mahakama ndio yenye uwezo wa kupima kosa na kutoa adhabu.

Ndugu Bashiru amewaonya watendaji hao wa serikali kuacha kuvunja sheria za nchi kwa kuwacharaza watu viboko.

Rais alishasema ukifanya kazi utaonekana lakini si kwa kujipiga piga picha na kuvunja sheria ili uonekane, Kigwangalla aliyafanya hayo lakini sasa ameachwa pembeni tupo nae mtaani bila ulinzi tukitegemea sungusungu na ulinzi shirikishi.
Mazoa hujenga tabia
 
Nimefrahi Sana, Mungu ambariki Dr. Bashiru,inastikisha sana hawa viongozi Wa sasa,yaani wanaona kudharilisha watu eti ndo utendaji Nazi,hivi kwanini wahanga Wa haya matukio hawaendi mahakamani kushitaki?

Mheshimiwa rais anapaswa kuwa makini sana katika kuteua viingozi Wa government, maana wengi wao wamejawa mihemko bila kutumia hekima
MATAGA una shida. Mwanzo hukukemea...uliona sawa tu. Sasa hivi unajifanya unamsapoti Dr. Bashiru.

Kesho Rais akisapoti viboko utamsifia tena Rais.
 
Back
Top Bottom