PostGE2025 Dkt. Ayoub Rioba wa TBC anasema CNN na wengine walitakiwa kuripoti Serikali ya Rais Samia ilivyopunguza vifo vya mama na mtoto

PostGE2025 Dkt. Ayoub Rioba wa TBC anasema CNN na wengine walitakiwa kuripoti Serikali ya Rais Samia ilivyopunguza vifo vya mama na mtoto

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Ama hakika uchawa mbaya sana. Kupitia kipindi cha Jambo Tanzania Cha TBC leo Novemba 25, 2025 mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania anasema vyombo vya habari vya magharibi vilitakiwa kutusaidia kuripoti kuhusu serikali ya Rais Samia kupunguza vifo vya mama na mtoto na si yaliyotokea Oktoba 29.

 
Inasikitisha kuona msomi mwenye degree tatu (PhD) kuongea kiwepesi kama hivi.

Kwanini tumpongeze mtu kwa kutimiza wajibu wake? Tena kwa kodi za wananchi?

Tumpongeze mtu ambaye alikuja kuomba kura na kutaka idhini ya kuisimamia serikali na kutuahidi atafanya A B na C. Why apongezwe? Ametumia pesa zake za mfukoni?

Naunga mkono utoaji wa pongezi ila pale ambapo mtu atakuwa amefanya kitu extra miles ya vile tulivyotarajia, ila siyo vitu common tu ambavyo eti zaidi ya miaka 60 ya uhuru bado ajenda ni hizo hizo na wao ndiyo wapo madarakani miaka yote hiyo.

Daktari Ayoub umezingua parefu, mnawatisha vijana hata wasione umuhimu wa kusoma hizo the so called PhD kama reasoning ya Degree tatu ndiyo kama hiyo ya kwako.

Shame
Ama hakika uchawa mbaya sana. Kupitia kipindi cha Jambo Tanzania Cha TBC leo Novemba 25, 2025 mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania anasema vyombo vya habari vya magharibi vilitakiwa kutusaidia kuripoti kuhusu serikali ya Rais Samia kupunguza vifo vya mama na mtoto na si yaliyotokea Oktoba 29.

 
Ama hakika uchawa mbaya sana. Kupitia kipindi cha Jambo Tanzania Cha TBC leo Novemba 25, 2025 mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania anasema vyombo vya habari vya magharibi vilitakiwa kutusaidia kuripoti kuhusu serikali ya Rais Samia kupunguza vifo vya mama na mtoto na si yaliyotokea Oktoba 29.

Kumbe huyu ni mpuuzi tu kama Lucas Mwashambwa
 
Kwani nani alikuwa anawaua hadi serikali ikaingilia kati.
 
Ama hakika uchawa mbaya sana. Kupitia kipindi cha Jambo Tanzania Cha TBC leo Novemba 25, 2025 mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania anasema vyombo vya habari vya magharibi vilitakiwa kutusaidia kuripoti kuhusu serikali ya Rais Samia kupunguza vifo vya mama na mtoto na si yaliyotokea Oktoba 29.

Mbona walimpa tuzo ya kupunguza vifo vya mama na mtoto, Rioba hakuona hicho kitu. Wazungu sio wanafika wako smart sana wanatupa dawa za UKIMWI ili tusife, hawawezi kufanyamaza pindi polisi wanapotuua.
Walipa kodi wao wanajinyima na kutununulia dawa za kurefusha maisha baada ya sisi kupigana miti kizembe na kupata maambukizi, halafu wakodoe macho wakati serikali inayopokea hizo pesa za dawa ina 'shoot to kill' hao hao raia wanaotakiwa kuishi muda mrefu!
 
Back
Top Bottom