General mex
Senior Member
- May 1, 2011
- 158
- 185
kwa hali inavyoelekea hao watu waliotaka kumuondoa duniani sio watu wadogo tu, na kwa sababu lengo lao halijatimia, badala ya kukaa tu na kujadili kilichotokea pia ulinzi uimarishwe kwani huwezi jua wanaweza wakatafuta mbinu nyingine za kutimiza azma yao. kwa hiyo kwa ushauri tu ni kwamba awekewe ulinzi wa kutosha na hata wanaomuhudumia wawe makini sana kwani unaposhindana na adui usiyemjua, unatakiwa uamini kua mtu mwema ni wewe peke yako. Mungu amjalie dk Ulimboka afya njema aweze kuwaumbua wauaji hao.